Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani. Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Kimario (Guest) on July 29, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Alice Mwikali (Guest) on July 13, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

David Sokoine (Guest) on July 6, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on July 5, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Tambwe (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Alice Jebet (Guest) on June 26, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Joseph Njoroge (Guest) on June 11, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Hekima (Guest) on May 28, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Neema (Guest) on May 19, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Peter Mbise (Guest) on May 2, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Agnes Sumaye (Guest) on March 18, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Anna Mahiga (Guest) on March 13, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Mwambui (Guest) on March 5, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Diana Mallya (Guest) on February 7, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on February 4, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on February 3, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nassor (Guest) on January 24, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nora Lowassa (Guest) on January 11, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on December 24, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Latifa (Guest) on December 20, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Malima (Guest) on November 25, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Lissu (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Patrick Kidata (Guest) on October 13, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Zainab (Guest) on October 10, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Minja (Guest) on September 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on September 7, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Sultan (Guest) on September 4, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 8, 2018

🀣πŸ”₯😊

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 1, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on July 31, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Josephine Nekesa (Guest) on July 30, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on July 4, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on July 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

John Mwangi (Guest) on June 29, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on June 21, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on May 2, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on April 27, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on April 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Salum (Guest) on March 31, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwajabu (Guest) on March 26, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mushi (Guest) on February 25, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on February 23, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Rubea (Guest) on January 4, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Mchome (Guest) on December 3, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on November 26, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 18, 2017

Asante Ackyshine

Grace Mligo (Guest) on October 25, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on October 16, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on October 13, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Grace Njuguna (Guest) on October 5, 2017

😊🀣πŸ”₯

John Lissu (Guest) on October 4, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Abubakari (Guest) on September 26, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Michael Mboya (Guest) on September 21, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on August 30, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Joy Wacera (Guest) on August 29, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zulekha (Guest) on August 28, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joseph Njoroge (Guest) on August 23, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on July 22, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on June 17, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About