Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Featured Image

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia Mlangoni kwangu ndio wanacheza hapo. Kila nikitoka wananisalimia. Mama yao ndio kanimaliza kabisa nimetoka akaniambia

"Kumbe wewe ni Mpishi mzuri, Hongera"

Imebidi nisirudi nyumbani maana wale watoto wanaweza kuingia ndani kabisa na pilau hakuna.

#UTOTO RAHA πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nancy Kabura (Guest) on January 8, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mariam Hassan (Guest) on January 1, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on December 29, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on December 7, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on November 27, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Catherine Mkumbo (Guest) on October 29, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on October 24, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Kahina (Guest) on October 18, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nyota (Guest) on October 16, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Paul Ndomba (Guest) on September 29, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Tabu (Guest) on September 16, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

David Ochieng (Guest) on September 15, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on August 12, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on August 6, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Robert Ndunguru (Guest) on August 3, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Margaret Anyango (Guest) on July 9, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on July 7, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Joseph Kiwanga (Guest) on June 15, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on May 15, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mary Sokoine (Guest) on May 4, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on April 23, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on April 11, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Diana Mumbua (Guest) on April 10, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Moses Mwita (Guest) on April 5, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Abdillah (Guest) on April 1, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Sarah Mbise (Guest) on March 20, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Mwangi (Guest) on March 20, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Patrick Kidata (Guest) on January 30, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Jacob Kiplangat (Guest) on January 25, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Margaret Mahiga (Guest) on January 10, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on December 26, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on December 26, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on December 21, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Diana Mumbua (Guest) on November 5, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

John Mushi (Guest) on October 22, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Mwita (Guest) on October 18, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Sarafina (Guest) on September 26, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mary Kendi (Guest) on August 15, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 2, 2020

🀣πŸ”₯😊

George Mallya (Guest) on July 30, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mariam (Guest) on June 25, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mwinyi (Guest) on June 21, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nahida (Guest) on June 3, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on May 27, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on May 27, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on May 17, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

John Lissu (Guest) on May 16, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on May 15, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on April 14, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Amina (Guest) on March 12, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Wilson Ombati (Guest) on March 6, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Grace Mushi (Guest) on February 29, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on February 29, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 27, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on January 26, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

James Kawawa (Guest) on January 21, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Arifa (Guest) on January 21, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mwajuma (Guest) on January 17, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Francis Njeru (Guest) on January 2, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Related Posts

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

πŸ“– Explore More Articles