Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samuel Omondi (Guest) on April 12, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Josephine Nduta (Guest) on April 11, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on March 24, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on March 8, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on March 4, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on February 19, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Latifa (Guest) on February 17, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Thomas Mtaki (Guest) on February 15, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Omari (Guest) on February 12, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Michael Onyango (Guest) on February 9, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on February 2, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on January 28, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Faith Kariuki (Guest) on January 15, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on December 31, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on December 28, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on December 16, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ann Wambui (Guest) on December 14, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Samson Mahiga (Guest) on December 5, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on November 8, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on November 7, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maneno (Guest) on November 5, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Elijah Mutua (Guest) on October 30, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Esther Nyambura (Guest) on October 20, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Ann Wambui (Guest) on October 5, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lydia Wanyama (Guest) on October 1, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Shamim (Guest) on September 30, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Nyerere (Guest) on August 10, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nora Lowassa (Guest) on July 30, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Halimah (Guest) on July 29, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

George Mallya (Guest) on July 25, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Zawadi (Guest) on July 6, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Josephine Nekesa (Guest) on July 5, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on June 28, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on June 12, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Lowassa (Guest) on June 9, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on June 8, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on May 7, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on May 1, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Tabu (Guest) on April 17, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on April 9, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hassan (Guest) on March 8, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Benjamin Kibicho (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Patrick Kidata (Guest) on January 31, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on January 31, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Patrick Kidata (Guest) on January 19, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Samuel Were (Guest) on January 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Margaret Anyango (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Salima (Guest) on December 24, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Brian Karanja (Guest) on December 2, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on November 22, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on November 16, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

John Lissu (Guest) on November 12, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

George Mallya (Guest) on November 12, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Asha (Guest) on September 30, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mwajabu (Guest) on August 16, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

John Mwangi (Guest) on August 11, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mwachumu (Guest) on July 26, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Alice Wanjiru (Guest) on July 6, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on July 5, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Margaret Anyango (Guest) on June 23, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.