Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Featured Image

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi akamjibu No! Mzungu mwengine akapita akamuliza vilevile akajibu No!

Akaona hapa anasumbuliwa akasogea mbele kidogo ya maji akamuona mzungu mmoja alikuwa ame2lia. Akamuliza "are u relax? Mzungu akajibu yes jamaa akamkata makofi mawili na kumwambia kumbe we ndo relax inuka unatafutwa na wenzako…..Shenz mkubwa mie nasumbuliwa na wenzako kule we umejikausha!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 18, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on September 18, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mzee (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lucy Wangui (Guest) on September 8, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joy Wacera (Guest) on August 31, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 20, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Mwangi (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on August 5, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on August 2, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Halimah (Guest) on July 30, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mary Njeri (Guest) on July 12, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on June 30, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Mary Sokoine (Guest) on June 24, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Biashara (Guest) on June 4, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Diana Mumbua (Guest) on May 17, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on May 10, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on April 23, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Aziza (Guest) on April 18, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Mariam Hassan (Guest) on March 27, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mary Mrope (Guest) on March 3, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Njeru (Guest) on February 14, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Ibrahim (Guest) on February 1, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on January 27, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on January 20, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on January 19, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on January 17, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rose Kiwanga (Guest) on December 6, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Miriam Mchome (Guest) on December 4, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Mushi (Guest) on November 22, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on November 14, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mary Kidata (Guest) on October 27, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on September 23, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Mrema (Guest) on August 4, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on July 16, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Mtangi (Guest) on June 23, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on June 17, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on June 6, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on May 16, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

David Chacha (Guest) on May 2, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on April 23, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mashaka (Guest) on April 20, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Carol Nyakio (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nyota (Guest) on April 5, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwanaidha (Guest) on March 18, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Agnes Njeri (Guest) on March 16, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Agnes Njeri (Guest) on March 8, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 20, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on February 7, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Monica Adhiambo (Guest) on January 5, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Elizabeth Malima (Guest) on December 27, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 8, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Tibaijuka (Guest) on October 11, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sekela (Guest) on September 2, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Mwikali (Guest) on September 2, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on August 24, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Khatib (Guest) on August 20, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Alex Nakitare (Guest) on August 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Janet Sumari (Guest) on July 11, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Related Posts

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About