Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy
Date: July 26, 2021
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?β¦.Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka β¦majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;
MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mtoto ni wa baba au wa mama?
Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka...
Read More
Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ ππππππππ...
Read More
Angalia hivi
-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ...
Read More
PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ...
Read More
MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More
Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,...
Read More
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka k...
Read More
Hili nalo neno
Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka...
Read More
Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali...
Read More
Mwalimu aliuliza swali
"Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA?
Mwanafunzi mmoja akajibu:-
"Kw...
Read More
Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ...
Read More
Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?
Hapo ndio unajua shida siyo we...
Read More
Hellen Nduta (Guest) on November 17, 2021
Hii ni kali sana! ππ€£
Mariam Kawawa (Guest) on September 29, 2021
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Salima (Guest) on September 20, 2021
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Esther Nyambura (Guest) on September 8, 2021
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Janet Wambura (Guest) on August 23, 2021
Hii imenikuna! ππ
Stephen Kangethe (Guest) on August 22, 2021
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Agnes Sumaye (Guest) on August 20, 2021
π€£ππ
Lucy Mahiga (Guest) on July 25, 2021
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Amina (Guest) on July 10, 2021
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
John Malisa (Guest) on June 30, 2021
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Wilson Ombati (Guest) on June 24, 2021
ππ€£ππ
Janet Mbithe (Guest) on June 23, 2021
π Naihifadhi hii!
Violet Mumo (Guest) on June 14, 2021
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
John Mushi (Guest) on May 18, 2021
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Joseph Kiwanga (Guest) on May 18, 2021
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Peter Mwambui (Guest) on May 17, 2021
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Francis Njeru (Guest) on May 15, 2021
Huyu alikuwa na point! ππ
Martin Otieno (Guest) on April 27, 2021
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Majid (Guest) on April 26, 2021
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Isaac Kiptoo (Guest) on April 3, 2021
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Shabani (Guest) on March 15, 2021
π Umenishika vizuri!
Catherine Mkumbo (Guest) on March 3, 2021
ππππ
Sarafina (Guest) on February 23, 2021
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
David Chacha (Guest) on February 22, 2021
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Andrew Mchome (Guest) on February 19, 2021
π Bado ninacheka!
Mary Sokoine (Guest) on January 28, 2021
Hii ni ya maana sana! ππ
Henry Mollel (Guest) on January 26, 2021
π Siwezi kuacha kucheka!
Dorothy Nkya (Guest) on January 24, 2021
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
James Kimani (Guest) on November 19, 2020
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Mariam Hassan (Guest) on September 21, 2020
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Esther Cheruiyot (Guest) on September 18, 2020
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Joyce Aoko (Guest) on September 10, 2020
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Diana Mallya (Guest) on August 28, 2020
ππ
Victor Sokoine (Guest) on August 22, 2020
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Khadija (Guest) on August 12, 2020
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Fredrick Mutiso (Guest) on July 2, 2020
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
Margaret Anyango (Guest) on May 10, 2020
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Joyce Nkya (Guest) on May 5, 2020
πππ
Stephen Amollo (Guest) on May 3, 2020
Nimecheka hadi machozi π€£π
Alice Mrema (Guest) on April 27, 2020
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Joyce Nkya (Guest) on April 22, 2020
π πππ
Abubakar (Guest) on April 18, 2020
π Nimeipenda kabisa hii!
Athumani (Guest) on April 10, 2020
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Wilson Ombati (Guest) on April 7, 2020
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Mwakisu (Guest) on April 5, 2020
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Zainab (Guest) on March 24, 2020
π Siwezi kuacha kucheka!
Lydia Mutheu (Guest) on March 22, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Anna Mahiga (Guest) on March 7, 2020
π Nilihitaji kicheko hicho!
Anna Sumari (Guest) on February 24, 2020
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Lucy Wangui (Guest) on February 15, 2020
π πππ
Stephen Mushi (Guest) on January 25, 2020
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Catherine Mkumbo (Guest) on January 6, 2020
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Sarah Mbise (Guest) on December 24, 2019
πππ€£
Diana Mumbua (Guest) on December 24, 2019
π Nacheka hadi chini!
Joseph Mallya (Guest) on November 29, 2019
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Nuru (Guest) on November 26, 2019
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Francis Mrope (Guest) on November 15, 2019
π Hiyo punchline!
Victor Kimario (Guest) on November 13, 2019
π€£ Sikutarajia hiyo!
Irene Makena (Guest) on November 9, 2019
ππππ
Richard Mulwa (Guest) on November 6, 2019
Nimefurahia sana hii joke! π π