Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Featured Image
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7, ATM Card na kikaratasi chenye PIN ya ATM Card na kijimkufu cha dhahabu kinene hivi…" Mtangazaji akasema:- Akhasante sana John, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama ana kusikiliza akutafute kwa No. Gani!? John: Hapana, mi nilikuwa namshukuru tu maana amenitoa kwenye matatizo na ninapenda kumuombea Dedication wimbo wa Snura "MAJANGA" umfikie popote pale alipo…!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joy Wacera (Guest) on November 13, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on November 1, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on October 22, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 14, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on September 11, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on August 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on August 20, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 9, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on August 8, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on August 7, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Stephen Mushi (Guest) on August 4, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

John Mwangi (Guest) on July 13, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on July 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanais (Guest) on June 26, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Faith Kariuki (Guest) on June 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on June 5, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on May 12, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 30, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on March 16, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 7, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Macha (Guest) on March 4, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Muslima (Guest) on February 23, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Sokoine (Guest) on February 11, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Juma (Guest) on January 11, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joy Wacera (Guest) on January 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Joseph Kiwanga (Guest) on January 3, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on December 21, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 6, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Mwinuka (Guest) on October 28, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on September 9, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

David Musyoka (Guest) on August 27, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on August 19, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on August 18, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Arifa (Guest) on July 24, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Sultan (Guest) on July 8, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on July 2, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on June 1, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Christopher Oloo (Guest) on May 24, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on May 21, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 20, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on April 25, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Stephen Kangethe (Guest) on March 26, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Susan Wangari (Guest) on March 4, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Diana Mumbua (Guest) on March 3, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on February 25, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Maulid (Guest) on January 28, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on January 14, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Henry Sokoine (Guest) on January 13, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Lucy Wangui (Guest) on January 5, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on December 10, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Zulekha (Guest) on November 7, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mwanakhamis (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

James Mduma (Guest) on September 8, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

George Mallya (Guest) on August 12, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on August 6, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Alex Nakitare (Guest) on August 4, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lucy Mahiga (Guest) on August 2, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Mwambui (Guest) on June 21, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Grace Njuguna (Guest) on June 11, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About