Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Featured Image

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
utakalo lifanyike
duniani kama mbinguni.
Utupe leo mkate wetu wa kila siku,
utusamehe makosa yetu,
kama tunavyowasamehe na sisi waliotukosea.
Usitutie katika kishawishi,
lakini utuopoe maovuni.
Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Kiwanga (Guest) on May 30, 2017

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Janet Sumaye (Guest) on April 4, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Joseph Kawawa (Guest) on March 14, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

James Malima (Guest) on February 18, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Janet Wambura (Guest) on February 16, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Joseph Mallya (Guest) on January 23, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Janet Sumaye (Guest) on December 21, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

James Malima (Guest) on July 29, 2016

Amina

Edwin Ndambuki (Guest) on July 8, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Irene Akoth (Guest) on April 3, 2016

Neema na amani iwe nawe.

David Chacha (Guest) on March 11, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Linda Karimi (Guest) on February 21, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Janet Sumaye (Guest) on February 19, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Raphael Okoth (Guest) on January 22, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

David Nyerere (Guest) on December 19, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Ann Awino (Guest) on December 13, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Grace Majaliwa (Guest) on December 12, 2015

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Jacob Kiplangat (Guest) on December 5, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Joyce Mussa (Guest) on October 17, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Sharon Kibiru (Guest) on September 11, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Joyce Mussa (Guest) on September 2, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Janet Wambura (Guest) on July 25, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Sharon Kibiru (Guest) on April 9, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Related Posts

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About