Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Featured Image

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina ya maisha ambayo Mungu anapenda mimi niishi. Usiniache nidanganyike katika jambo muhimu kama hili, ambalo furaha yangu hapa duniani inalitegemea, na hata pia wokovu wa roho yangu.

Unijalie, nikiangazwa na matakwa matakatifu na nikiwa mwaminifu katika kuyatimiza, nikumbatie aina ya maisha ambayo Mungu ameniandalia na yatakayoniongoza kwenye furaha ya milele.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 15, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Anna Sumari (Guest) on June 7, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Sokoine (Guest) on June 2, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Peter Otieno (Guest) on February 24, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Margaret Anyango (Guest) on February 12, 2017

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Violet Mumo (Guest) on February 9, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Joseph Kiwanga (Guest) on February 8, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Ruth Mtangi (Guest) on December 1, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Grace Wairimu (Guest) on November 23, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Jane Muthoni (Guest) on November 21, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

James Mduma (Guest) on October 7, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Henry Sokoine (Guest) on September 15, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Jane Muthui (Guest) on May 2, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Irene Akoth (Guest) on April 4, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 1, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

John Lissu (Guest) on January 13, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Jane Malecela (Guest) on November 26, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Anna Mahiga (Guest) on September 7, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Peter Otieno (Guest) on August 12, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Michael Onyango (Guest) on August 3, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

John Malisa (Guest) on June 11, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Related Posts

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About