Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Featured Image

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha Mungu, ninakukabidhi nia na haja zangu zote. Ee Mt. Yosefu, unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu, na unipatie kutoka kwa Mwanao Mungu, baraka zote za kiroho, kwa njia ya Kristu Bwana wetu, ili nikishapata msaada wako wa mbinguni ningali bado hapa duniani, niweze nami kumsifu, kumwabudu na kumshukuru Mungu aliye Baba mwema kabisa kushinda wote. Ee Mt. Yosefu, sichoki kamwe kufikiri moyoni kwa upendo, jinsi Mtoto Yesu alivyokuwa amesinzia mikononi mwako. Akiwa amepumzika hivyo karibu na moyo wako, sithubutu kujongea, nisije nikamsumbua, bali nakuomba wewe umkumbatie na kumbusu kwa niaba yangu na kumwambia anipe busu lake nitakapovuta pumzi yangu ya mwisho.
Mtakatifu Yosefu Msimamizi wa wanaozimia roho; Utuombee.
Amina.

Sala hii ilipatikana katika mwaka wa hamsini wa Bwana na Mwokozi Wetu Yesu Kristu. Mnamo mwaka 1505 Baba Mtakatifu alimtumia sala hii Mfalme Charles wakati alipokuwa anaenda vitani. Yeyote atakayeisoma sala hii, au kuisikia ikisomwa, au kuibeba, hatakufa kifo cha ghafla,hatazama majini, hatadhurika kwa sumu, wala hataanguka katika mikono ya adui zake, au kuunguzwa katika moto wowote ule, au kushindwa katika vita.

Sali sala hii kwa siku tisa mfululizo, kwa kuomba jambo lolote unalolihitaji. Haijawahi kusikika kuwa sala hii imeshindwa jambo.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sarah Karani (Guest) on December 27, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Samuel Were (Guest) on December 27, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Peter Tibaijuka (Guest) on December 19, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Benjamin Masanja (Guest) on October 11, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Joseph Njoroge (Guest) on August 10, 2017

Sifa kwa Bwana!

Stephen Kikwete (Guest) on June 15, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Nora Lowassa (Guest) on May 7, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Chris Okello (Guest) on May 2, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Ruth Wanjiku (Guest) on December 10, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Alex Nyamweya (Guest) on November 14, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Peter Mbise (Guest) on October 15, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

James Kimani (Guest) on September 26, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Monica Nyalandu (Guest) on August 20, 2016

Endelea kuwa na imani!

Joseph Kawawa (Guest) on June 29, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Andrew Odhiambo (Guest) on May 20, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Chris Okello (Guest) on May 20, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Violet Mumo (Guest) on May 6, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Victor Kimario (Guest) on November 22, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 28, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Joseph Kawawa (Guest) on October 13, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Nancy Komba (Guest) on August 18, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Rose Lowassa (Guest) on August 14, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Charles Mchome (Guest) on July 11, 2015

Nakuombea πŸ™

John Lissu (Guest) on June 18, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Ruth Wanjiku (Guest) on June 13, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Related Posts

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About