Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala fupi ya Asubuhi

Featured Image

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina.

Ee Utatu Mtakatifu wa Mwenyezi Mungu, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, nasadiki kuwa upo hapa na mahali pote. Ee Mungu wangu, umeniumba, umenikomboa, umenifanya mkristo, umenizidishia neema zako hapa duniani, umenitayarishia makao yangu mbinguni, umenijalia na siku hii nikutumikie. Ee Mungu wangu! Nakuabudu, nakushukuru, nakuomba toba, nakupenda! Ee Mungu wangu, nakutolea roho yangu, na mawazo, na maneno, na kazi, na furaha, na mateso yangu: uyapokee unipe neema yako nisikutende leo dhambi!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Agnes Njeri (Guest) on February 25, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Irene Makena (Guest) on December 11, 2017

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

James Mduma (Guest) on November 20, 2017

Amina

Mary Kidata (Guest) on June 2, 2017

Mungu akubariki!

Janet Sumaye (Guest) on May 31, 2017

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Patrick Mutua (Guest) on March 12, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Paul Ndomba (Guest) on March 10, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Chris Okello (Guest) on December 27, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Faith Kariuki (Guest) on December 13, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Frank Sokoine (Guest) on October 9, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Samuel Omondi (Guest) on June 26, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Henry Sokoine (Guest) on March 27, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Agnes Njeri (Guest) on March 24, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

David Musyoka (Guest) on February 2, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Mary Njeri (Guest) on January 17, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Carol Nyakio (Guest) on November 28, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Jacob Kiplangat (Guest) on November 18, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

Edwin Ndambuki (Guest) on November 11, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Mary Kendi (Guest) on October 4, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

David Sokoine (Guest) on October 3, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Diana Mallya (Guest) on August 2, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Chris Okello (Guest) on July 13, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Irene Akoth (Guest) on May 16, 2015

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Related Posts

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About