Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuweka nia njema

Featured Image

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo neno tendo lote, Namtolea Mungu pote, Roho, mwili chote changu, pendo na uzima wangu, Mungu wangu nitampenda, Wala dhambi sitatenda, Jina lako nasifia, Utakalo hutimia, Kwa utii navumilia, Teso na matata pia, Nipe Bwana neema zako, Niongezee sifa yako, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Nyerere (Guest) on July 23, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Elizabeth Malima (Guest) on July 20, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Alex Nyamweya (Guest) on July 10, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Diana Mallya (Guest) on February 6, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Patrick Akech (Guest) on February 4, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2017

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Mary Mrope (Guest) on December 3, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Wilson Ombati (Guest) on October 9, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Jane Muthoni (Guest) on September 2, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Anna Sumari (Guest) on August 21, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Faith Kariuki (Guest) on May 16, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Hellen Nduta (Guest) on February 1, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Esther Cheruiyot (Guest) on December 22, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Hellen Nduta (Guest) on December 21, 2015

Rehema hushinda hukumu

Jane Muthui (Guest) on December 11, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Victor Kimario (Guest) on November 12, 2015

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Stephen Amollo (Guest) on October 12, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Samson Mahiga (Guest) on October 2, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Daniel Obura (Guest) on September 8, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Jane Malecela (Guest) on August 18, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Victor Kimario (Guest) on June 12, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Peter Otieno (Guest) on April 27, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Michael Mboya (Guest) on April 6, 2015

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Related Posts

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

πŸ“– Explore More Articles