Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Majitoleo kwa Bikira Maria

Featured Image

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na mwili wangu, nikikuomba uipokee amana yangu, kuitunzia ulinzi mwema ulinzi bora, ninakuaminia na kila neno langu, matumaini na kitulizo na kisongo chote, na masumbuko na uzima na ukomo wa uzima wangu: nitakayo ndiyo unifanyizie kwa maombezi na stahili zako, ili mambo yangu yote yapate kuongoka, yakiwa na kufuata mapenzi yako, pamoja na mapenzi ya Mwanao. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Moses Mwita (Guest) on March 20, 2017

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Anna Mahiga (Guest) on February 20, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Jackson Makori (Guest) on February 15, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Monica Adhiambo (Guest) on February 14, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Stephen Malecela (Guest) on January 27, 2017

Rehema hushinda hukumu

Mary Kendi (Guest) on November 3, 2016

Endelea kuwa na imani!

Sharon Kibiru (Guest) on September 11, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Agnes Sumaye (Guest) on August 27, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Michael Mboya (Guest) on June 15, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Elizabeth Mrope (Guest) on June 3, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Mary Mrope (Guest) on April 22, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Wilson Ombati (Guest) on April 12, 2016

Sifa kwa Bwana!

Leila (Guest) on April 1, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Isaac Kiptoo (Guest) on March 15, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Grace Mushi (Guest) on March 4, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

James Kawawa (Guest) on February 19, 2016

Dumu katika Bwana.

George Tenga (Guest) on February 13, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Raphael Okoth (Guest) on January 4, 2016

Amina

George Wanjala (Guest) on December 1, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Joseph Kiwanga (Guest) on October 6, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Joseph Mallya (Guest) on April 14, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Daniel Obura (Guest) on April 13, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Joyce Mussa (Guest) on April 10, 2015

Tumaini ni nanga ya roho

Related Posts

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About