Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Featured Image

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti Takatifu ya Altare;/ pokea kitendo hiki cha kukuangukia kifudi fudi/ kama ishara ya tamaa niliyonayo ya kukuabudu Wewe/ bila kuchoka/ na kukushukuru kwa mapendo yako makubwa/ yasiyo na kipimo/ ambayo Moyo wako Mtakatifu sana/ unawaka katika Sakramenti Takatifu hii./ Siwezi kukushukuru vizuri zaidi/ kuliko kama ningetolea kwako/ matendo yangu yote ya kukuabudu/ unyenyekevu wangu/ uvumilivu na mapendo/ ambayo huu Moyo Mwabudiwa ulifanya,/ bado unafanya/ na utaendelea kufanya katika uzima wa milele mbinguni./ Ninaahidi kupitia Moyo huu,/ nitakupenda,/ nitakutukuza,/ na nitakuabudu kama nitakavyoweza./ Ninajiunganisha na hii Sadaka Takatifu/ ambayo unatoa kwa Baba Mungu/ na ninatolea kwako utu wangu./ Ninakuomba kuangamiza ndani yangu/ dhambi zote pamoja na majeraha yake/ na usikubali kunitenga nawe milele./ Amina.

(Na Mt. Margareta Maria Alakoki)

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Mallya (Guest) on February 26, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Chris Okello (Guest) on February 25, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Nora Kidata (Guest) on February 19, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Hamida (Guest) on February 7, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Nora Lowassa (Guest) on February 4, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Elizabeth Mtei (Guest) on December 9, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

David Sokoine (Guest) on November 13, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Bernard Oduor (Guest) on September 6, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Agnes Sumaye (Guest) on August 16, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Andrew Odhiambo (Guest) on July 24, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Francis Mrope (Guest) on June 6, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Chris Okello (Guest) on April 20, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2016

Endelea kuwa na imani!

Jackson Makori (Guest) on January 26, 2016

Sifa kwa Bwana!

Sarah Karani (Guest) on January 25, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Fredrick Mutiso (Guest) on January 20, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Catherine Mkumbo (Guest) on January 19, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Edward Chepkoech (Guest) on September 23, 2015

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Joseph Kawawa (Guest) on August 1, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Sarah Karani (Guest) on June 24, 2015

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Ann Awino (Guest) on June 12, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Victor Kamau (Guest) on June 7, 2015

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Samson Tibaijuka (Guest) on May 14, 2015

Amina

Related Posts

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About