Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Featured Image

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe tegemeo langu na tumaini langu dhabiti. Ndiwe mwenye dawa ya maovu yangu yote, malipizi ya makosa yangu yote. Waweza kunipatia haja zangu na neema ninazoziomba mimi na wengine. Wewe uko ili kutusaidia sote, ndiwe mwanga mkuu usiozimika, ndiwe chanzo cha nguvu, uvumilivu, amani na faraja. Nina hakika kuwa maombi yangu hayatakuchosha, nawe hutaacha kunisaidia, kunilinda, kunipenda, kwani, ee Moyo Mtakatifu , upendo wako hauna mwisho. Ee Moyo Mtakatifu, unihurumie, kwa ajili ya maombi yangu, kadiri ya huruma yako. Nawe katika sisi, na kwa ajili yetu, ufanye lolote unalolihitaji, kwani tunajitoa kwako kwa imani na uhakika thabiti kwamba kamwe hautatuacha, kwa milele. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Sokoine (Guest) on October 22, 2017

Nakuombea πŸ™

Sharon Kibiru (Guest) on September 10, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Stephen Malecela (Guest) on July 15, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Lucy Kimotho (Guest) on June 26, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Jane Muthui (Guest) on June 20, 2017

Rehema zake hudumu milele

Edwin Ndambuki (Guest) on June 19, 2017

Sifa kwa Bwana!

Charles Wafula (Guest) on May 2, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Anna Kibwana (Guest) on March 10, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Raphael Okoth (Guest) on January 10, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Margaret Mahiga (Guest) on September 22, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Agnes Sumaye (Guest) on September 12, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Rose Lowassa (Guest) on August 14, 2016

Amina

Elizabeth Mtei (Guest) on June 28, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Ruth Mtangi (Guest) on November 1, 2015

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

James Mduma (Guest) on October 1, 2015

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Josephine Nduta (Guest) on August 18, 2015

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Janet Sumari (Guest) on August 17, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Charles Wafula (Guest) on July 13, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Patrick Kidata (Guest) on June 28, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Catherine Mkumbo (Guest) on June 27, 2015

Dumu katika Bwana.

George Mallya (Guest) on June 23, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Rose Lowassa (Guest) on June 17, 2015

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 31, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Related Posts

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)