Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Featured Image

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubwa sana ulipotazama mateso na kifo cha Mwana wako mpenzi. Muda ule uliweza kutuliz kidogo kwa sababu ya kumwona angali hai. Lakini je, baada ya kufa na kumzika? Sasa wewe ni mkiwa mkubwa mno! Uh, ukiwa wa pekee, uniombee mimi ninayempoteza mara nyingi kwa dhambi zangu. Unijalie nisimpoteze tena Yesu wangu kwa ubaya wa uvivu wangu, bali nimtumikie kiaminifu duniani hapa ili nimwone na kumfurahia milele mbinguni. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Amukowa (Guest) on November 19, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Dorothy Nkya (Guest) on November 16, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

David Chacha (Guest) on November 4, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

David Nyerere (Guest) on October 7, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Charles Wafula (Guest) on October 7, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Tabitha Okumu (Guest) on September 24, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Edith Cherotich (Guest) on September 2, 2017

Amina

Lydia Mahiga (Guest) on August 26, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

George Mallya (Guest) on August 5, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Vincent Mwangangi (Guest) on May 10, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Elijah Mutua (Guest) on May 1, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Ruth Wanjiku (Guest) on March 29, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Elizabeth Mrema (Guest) on March 22, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Monica Adhiambo (Guest) on March 6, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Frank Sokoine (Guest) on March 5, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Linda Karimi (Guest) on December 13, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Nora Lowassa (Guest) on December 7, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Brian Karanja (Guest) on September 16, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Charles Wafula (Guest) on July 19, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Lucy Kimotho (Guest) on May 31, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Moses Mwita (Guest) on January 25, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Peter Tibaijuka (Guest) on August 18, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anna Mahiga (Guest) on April 6, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Related Posts

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About