Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Featured Image

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtakatifu wa Bwana wetu Yesu Kristu/ ambao ninataka kumpenda/ na kukusalimu kwa usikivu unaoendelea./ Kamwe nisikuudhi tena/ kwa sababu Wewe ni Mwema sana;/ Ee Mwema sana./ Ee Moyo Mtakatifu sana/ ninakupenda/ na ninataka kukupenda zaidi ya vitu vyote,/ kwa nguvu zangu zote/ na kwa uwezo wangu wote,/ ninatamani kuwa mali yako/ Wewe uliyejitoa Msalabani kwa ajili yangu/ kwa mateso makali./ Unionee huruma na udhaifu wangu/ na usiniruhusu kupotea./

Ninajitoa kabisa kwako/ ee moyo wa mapendo,/ kwa makusudi kuwa utu wangu,/ maisha na mateso yangu/ yalipie kukupenda,/ kukuheshimu/ na kukutukuza Wewe sasa na milele./ Ninakupenda ee Moyo Mwabudiwa wa Mwokozi wangu,/ ninakuomba kwako/ uamuru moyo wangu na kila kitu ndani yangu/ kikutukuze sasa na milele./ Amina.

(Na Mt Margareta Maria Alakoki)

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Alex Nyamweya (Guest) on September 13, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Joyce Nkya (Guest) on August 21, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Monica Adhiambo (Guest) on August 3, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Lydia Mutheu (Guest) on May 7, 2017

Rehema hushinda hukumu

Monica Adhiambo (Guest) on April 2, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Edward Chepkoech (Guest) on March 16, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Nancy Akumu (Guest) on February 4, 2017

Sifa kwa Bwana!

Stephen Amollo (Guest) on September 28, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Grace Wairimu (Guest) on September 26, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Violet Mumo (Guest) on July 21, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Dorothy Nkya (Guest) on June 19, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Anna Mahiga (Guest) on April 4, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Grace Wairimu (Guest) on February 29, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Jacob Kiplangat (Guest) on February 16, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Francis Mrope (Guest) on February 13, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

John Lissu (Guest) on January 26, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Moses Kipkemboi (Guest) on January 25, 2016

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Elijah Mutua (Guest) on January 24, 2016

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Janet Mwikali (Guest) on January 20, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Nancy Komba (Guest) on January 6, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Jackson Makori (Guest) on November 7, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Irene Akoth (Guest) on July 22, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Joseph Mallya (Guest) on July 19, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

David Chacha (Guest) on April 1, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Related Posts

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

πŸ“– Explore More Articles