Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUTUBU

Featured Image

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukizwa na dhambi, basi sitaki kukosa tena, nitafanya kitubio, naomba neema yako nipate kurudi wkako. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Fredrick Mutiso (Guest) on May 16, 2018

Nakuombea πŸ™

Jane Muthui (Guest) on April 8, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Monica Nyalandu (Guest) on January 13, 2018

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Thomas Mtaki (Guest) on October 23, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Victor Malima (Guest) on April 11, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Zainab (Guest) on March 9, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Lucy Kimotho (Guest) on January 30, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Kenneth Murithi (Guest) on January 15, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Josephine Nekesa (Guest) on January 6, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Moses Mwita (Guest) on November 21, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 2, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Elijah Mutua (Guest) on August 29, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Joseph Kitine (Guest) on May 29, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Charles Mrope (Guest) on May 13, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

John Mwangi (Guest) on April 30, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Samuel Were (Guest) on April 25, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Jane Malecela (Guest) on April 13, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Grace Wairimu (Guest) on March 29, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Moses Kipkemboi (Guest) on January 21, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Grace Minja (Guest) on January 18, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Josephine Nekesa (Guest) on January 2, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

David Sokoine (Guest) on November 11, 2015

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Agnes Sumaye (Guest) on August 19, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Linda Karimi (Guest) on August 9, 2015

Dumu katika Bwana.

Related Posts

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About