Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Featured Image

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

β€œEe Yesu tupe moyo wako kama amana ya upendo wako na kimbilio letu, ili tupate pumziko salama wakati wa maisha yetu na faraja tamu saa ya kufa kwetu”.
Baba Yetu ……..
Salamu Maria ……. (mara tatu)
Nasadiki ………..

Kwenye chembe kubwa Sali (Badala ya β€˜Baba Yetu’):

β€œNinakuabudu, ninakutukuza na ninakupenda, Ee Moyo wa Yesu wangu mpenzi, uliopenywa na huzuni nyingi kwa ajili ya dhambi, ambazo zimekuwa zikitendwa hata leo, dhidi ya Sakramenti Takatifu sana ya Altare. Ninakutolea hapo kwa kuridhika, moyo wa Mama yako mpendevu, na mastahili ya watakatifu. Amina”.

Kwenye chembe ndogo sali (Badala ya β€˜Salamu Maria’):

β€œEe Moyo Mtakatifu wa Yesu, uwakao mapendo kwetu, washa nyoyo zetu kwa mapendo yako"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Sumaye (Guest) on March 23, 2018

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Paul Kamau (Guest) on February 20, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Violet Mumo (Guest) on December 12, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Robert Okello (Guest) on September 14, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

George Wanjala (Guest) on August 31, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Nora Kidata (Guest) on July 17, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Elizabeth Malima (Guest) on June 23, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Daniel Obura (Guest) on June 21, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

George Ndungu (Guest) on June 20, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Ruth Kibona (Guest) on May 27, 2017

Dumu katika Bwana.

Bernard Oduor (Guest) on January 29, 2017

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Edward Lowassa (Guest) on January 20, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Alex Nyamweya (Guest) on November 29, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Ann Awino (Guest) on October 14, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Peter Mwambui (Guest) on July 24, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Margaret Anyango (Guest) on July 18, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

George Mallya (Guest) on May 28, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Majaliwa (Guest) on May 3, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Lydia Mahiga (Guest) on March 21, 2016

Rehema hushinda hukumu

Diana Mumbua (Guest) on March 9, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Catherine Mkumbo (Guest) on March 7, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Janet Sumari (Guest) on February 16, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

James Malima (Guest) on January 9, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

James Kimani (Guest) on October 25, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

John Kamande (Guest) on July 14, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

David Musyoka (Guest) on June 14, 2015

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Henry Sokoine (Guest) on June 13, 2015

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Related Posts

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtaka... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About