Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:Β Hii gari haina watu bana.
Makanga:Β Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ng’ombe?

Man:Β Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:Β Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:Β Excuse me conda…gari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:Β Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:Β Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:Β Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:Β Ruaka ni how much?
Makanga:Β Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:Β Shukisha dere.
Makanga:Β Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:Β Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:Β Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Mchome (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Warda (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ramadhan (Guest) on February 12, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Samuel Omondi (Guest) on January 19, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on January 9, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on January 6, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Zulekha (Guest) on November 7, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on September 16, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on September 3, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

David Kawawa (Guest) on August 30, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Betty Akinyi (Guest) on August 28, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Tambwe (Guest) on August 15, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Hashim (Guest) on August 1, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Kheri (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Rose Mwinuka (Guest) on July 25, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Malima (Guest) on July 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on June 27, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on June 21, 2021

πŸ˜† Kali sana!

David Nyerere (Guest) on June 6, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on May 30, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Chris Okello (Guest) on May 23, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on April 17, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Kijakazi (Guest) on March 17, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Ann Wambui (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Selemani (Guest) on March 8, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Mbithe (Guest) on January 23, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Otieno (Guest) on January 22, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on January 14, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on January 8, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Akinyi (Guest) on December 28, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Kamande (Guest) on December 20, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Jaffar (Guest) on December 11, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Omari (Guest) on December 11, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Lissu (Guest) on December 5, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on December 3, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on November 17, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Amani (Guest) on October 31, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Cheruiyot (Guest) on October 7, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on September 17, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Irene Makena (Guest) on August 21, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Josephine (Guest) on July 31, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Wanyama (Guest) on July 10, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Faith Kariuki (Guest) on June 30, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Bakari (Guest) on May 15, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Maulid (Guest) on May 6, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nancy Akumu (Guest) on May 5, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on May 3, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joseph Kawawa (Guest) on April 21, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on March 15, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mary Mrope (Guest) on February 21, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on February 19, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Paul Ndomba (Guest) on February 11, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Janet Mbithe (Guest) on February 9, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on December 28, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Janet Wambura (Guest) on December 23, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on December 15, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Chiku (Guest) on November 22, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Betty Kimaro (Guest) on November 19, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

James Kimani (Guest) on November 15, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on November 5, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About