Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Featured Image

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu, Jamaa wakaniambia nichukue nguo nikanyooshe room kwao maana hawataki pasi yao itoke.
Sasa leo amekuja mmoja wao kuazima mopper akasafishe room, nimemwambia aje adekie humu humu…

Jamaa ameondoka nadhani atakua ameenda kuchukua maji
πŸ€’πŸ€’πŸ€’

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Daudi (Guest) on April 14, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on April 1, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on March 5, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Betty Cheruiyot (Guest) on February 28, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on February 20, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Jafari (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nancy Akumu (Guest) on January 24, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Maulid (Guest) on January 16, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Monica Lissu (Guest) on January 8, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on January 7, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 18, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on December 13, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Nora Kidata (Guest) on December 6, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on November 22, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on November 15, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on November 13, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Omar (Guest) on September 28, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Rose Lowassa (Guest) on September 14, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Dorothy Nkya (Guest) on July 2, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on June 30, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Jafari (Guest) on June 15, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Athumani (Guest) on June 5, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Makame (Guest) on January 23, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 6, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Omondi (Guest) on December 25, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on November 28, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Esther Nyambura (Guest) on November 18, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on November 12, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on November 4, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

James Malima (Guest) on October 16, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on September 26, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on September 22, 2020

Asante Ackyshine

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 11, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jane Muthui (Guest) on September 5, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Paul Ndomba (Guest) on August 28, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Agnes Lowassa (Guest) on August 11, 2020

😊🀣πŸ”₯

Nancy Kawawa (Guest) on August 7, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Janet Wambura (Guest) on August 5, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Daniel Obura (Guest) on July 27, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Nora Lowassa (Guest) on July 9, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Moses Mwita (Guest) on May 25, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Linda Karimi (Guest) on May 22, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on May 18, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on May 17, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alice Wanjiru (Guest) on May 10, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Sarah Karani (Guest) on May 3, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Chacha (Guest) on April 26, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Latifa (Guest) on April 20, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Agnes Njeri (Guest) on April 8, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Jafari (Guest) on March 3, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Charles Wafula (Guest) on February 23, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Francis Mrope (Guest) on February 18, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Khadija (Guest) on February 1, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Joseph Kitine (Guest) on January 3, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Janet Mwikali (Guest) on January 1, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Abdullah (Guest) on December 3, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Jane Malecela (Guest) on November 14, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nasra (Guest) on November 6, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nora Kidata (Guest) on October 27, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Related Posts

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More