Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mariam Kawawa (Guest) on June 4, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on May 31, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on May 5, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on May 4, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Issa (Guest) on April 26, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mwafirika (Guest) on April 18, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jackson Makori (Guest) on April 17, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on April 15, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on April 10, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on April 5, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on March 23, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on March 21, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on March 13, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on February 15, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Mahiga (Guest) on February 7, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Andrew Mchome (Guest) on January 9, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Grace Wairimu (Guest) on December 11, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

John Lissu (Guest) on November 27, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on November 22, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Faith Kariuki (Guest) on November 6, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Zulekha (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anthony Kariuki (Guest) on October 23, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on October 4, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Asha (Guest) on October 3, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Jane Muthui (Guest) on September 2, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Issa (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Dorothy Nkya (Guest) on August 28, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on August 5, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on July 20, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on July 20, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on June 23, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Francis Njeru (Guest) on June 20, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on June 16, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Hashim (Guest) on May 29, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mhina (Guest) on May 28, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on May 21, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on May 13, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

John Mushi (Guest) on May 9, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on May 1, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on April 9, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on February 21, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Kibwana (Guest) on February 15, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Catherine Mkumbo (Guest) on February 10, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on February 3, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on January 17, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Emily Chepngeno (Guest) on December 12, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Mwambui (Guest) on November 26, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Chum (Guest) on October 17, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on September 30, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on September 14, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Margaret Mahiga (Guest) on September 13, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Vincent Mwangangi (Guest) on September 5, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Peter Tibaijuka (Guest) on August 27, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on August 22, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 15, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ann Awino (Guest) on August 9, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maneno (Guest) on August 5, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Josephine Nduta (Guest) on July 25, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About