Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Featured Image

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa.
Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto
wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika
akamfuta mamake)
MTOTO: Mma, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
MAMA: Wanasayansi wamesema sisi tulitokana na
manyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi
kwa baba)
MTOTO: Baa mbona mama ansema sisi tulikuwa
manyani mwanzo?Au wanidanganya?
BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo
wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo waoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Salima (Guest) on May 19, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 15, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on May 5, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on April 23, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rehema (Guest) on March 28, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mary Kidata (Guest) on March 25, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Njuguna (Guest) on March 17, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Betty Akinyi (Guest) on February 21, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on February 6, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Agnes Lowassa (Guest) on January 13, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Ruth Kibona (Guest) on January 5, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on December 21, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on December 20, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samuel Omondi (Guest) on December 20, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on December 1, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Salima (Guest) on November 15, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Tabitha Okumu (Guest) on September 29, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on September 23, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on September 15, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sofia (Guest) on September 13, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Wafula (Guest) on September 11, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

John Mushi (Guest) on September 7, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on August 28, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Elizabeth Mrope (Guest) on August 27, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Amollo (Guest) on August 20, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on July 27, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Anna Kibwana (Guest) on July 18, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on June 4, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on June 1, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Betty Akinyi (Guest) on May 22, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Zubeida (Guest) on May 18, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mercy Atieno (Guest) on May 5, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Susan Wangari (Guest) on April 30, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

George Tenga (Guest) on March 26, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on March 19, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 2, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Omari (Guest) on February 27, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Diana Mallya (Guest) on February 21, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 9, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Joyce Mussa (Guest) on January 23, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Kheri (Guest) on January 11, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Binti (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Catherine Mkumbo (Guest) on January 4, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on December 14, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on October 19, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ann Wambui (Guest) on August 6, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on July 12, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on July 3, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on June 22, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on June 2, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Grace Mligo (Guest) on May 24, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on May 22, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on May 7, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on May 5, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on April 26, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on April 25, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Grace Majaliwa (Guest) on April 13, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on April 1, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Zulekha (Guest) on April 1, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Robert Okello (Guest) on March 18, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

πŸ“– Explore More Articles