Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Featured Image

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no ngeni na kuamua kuipokea ndipo unakutana na Sauti ya msichana ya kuvutia lakin kabla hajasema shida yake anaamua kukata simu. Unashikwa na hamu ya kujua ni nani. Tamaa ya mchepuko inakujia ghafla na kuamua kuipiga ile no tena kwa mara nyingine inakuwa haipatikani.

Siku hiyo hiyo usiku ukiwa umelala chumba kimoja na mkeo meseji inaingia tena kwenye cm yako kwa ile namba iliyokupigia mchana ikikuomba umpigie kwa mida ule na kusisitiza kuwa ana hamu ya kukufahamu. kila ukimtumia meseji ya kumdanganya upo sehemu mbaya hasikii anakubipu mara nyingi. Uzalendo unakushinda, unamuangalia pembeni mkeo kalala fofofo kajifunika shuka hadi usoni. Unaamua kuondoka kwa kunyata mpaka sebuleni kwenda kuipiga Ile namba kwa lengo la Kumwambia kesho mkutane. Ile unafika sebuleni na kuanza kuipiga ile cm ndipo unakutana na sauti hii:-Β MUME WANGU ACHA MCHEPUKO, NILIKUWA NAKUPIMA TU RUDI TU CHUMBANI TULALEΒ πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ Hapo ndo utajua kwann bata hata ale kokoto anaharisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Wanyama (Guest) on April 1, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on March 31, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on March 23, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Jackson Makori (Guest) on January 10, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Edward Lowassa (Guest) on December 29, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Mrope (Guest) on December 24, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on December 23, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on December 21, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Kangethe (Guest) on December 4, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on November 20, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Zainab (Guest) on October 28, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nasra (Guest) on October 23, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mazrui (Guest) on October 6, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Linda Karimi (Guest) on September 25, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on August 31, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mary Kendi (Guest) on August 14, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Khadija (Guest) on June 3, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 18, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on April 16, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mary Kidata (Guest) on April 16, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on February 22, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on February 7, 2021

🀣πŸ”₯😊

Nancy Kabura (Guest) on January 30, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on January 19, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on January 9, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on December 19, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on November 5, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Shamim (Guest) on October 23, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

James Kimani (Guest) on October 21, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hassan (Guest) on October 20, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Michael Onyango (Guest) on October 17, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on October 13, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mohamed (Guest) on October 12, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Victor Kimario (Guest) on August 27, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 4, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on June 27, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on June 18, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on June 11, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on June 2, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on May 22, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on May 21, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on May 15, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mahiga (Guest) on May 7, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on April 17, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Leila (Guest) on April 16, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Abubakar (Guest) on April 14, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Sokoine (Guest) on March 22, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on March 16, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Lydia Mutheu (Guest) on February 23, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Amani (Guest) on January 7, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Anthony Kariuki (Guest) on January 3, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on December 16, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Elizabeth Mtei (Guest) on December 9, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on December 5, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on December 4, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Husna (Guest) on November 17, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Wairimu (Guest) on November 11, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on October 29, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Josephine Nekesa (Guest) on October 27, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Raha (Guest) on September 24, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Related Posts

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More