Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Featured Image

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka
juu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndiyo nipo kidato cha kwanza…" Napenda kuwajulisha kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo nyumbani, nimetoroka mana nimegundua
nina uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana mwenye umri wa miaka 14 na ninajua kipi chema na kipi kibaya.

Tangu mwezi mmoja uliopita nilikuwa na uhusiano nabinti mmoja aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na kwa sasa
ndo naishi naye kwenye chumba alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti za shilingi 10,000… Msichana niliyenaye ni mzuri sana wa umbo na ninampenda sana, amenifundisha njia za kutafuta hela.

Amenipangia kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija lazima awe naye
chumbani kwa muda wa masaa 3.

Msiwe na hofu, nipo salama kabisa na nimeamua kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo biashara inaenda vizuri.

Rachel ameenda kupima afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini, mara nyingi namridhisha anapotaka kitu flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na mgonjwa unakuwa naye karibu.

Ila mi pia sijihisi vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka miwili iishe atakuwa
ameshajifungua, na ni furaha yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangU, sina la kuongeza kwaherini Mungu
akipenda tutaonana.

NB: "Baba na mama, mimi nipo chumbani kwangu najisomea,
mnachokisoma ni h/work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge hadithi fupi ya kusisimua, naomba muiangalie kama kuna
makosa!"

Ingekuwa wewe hapo ndi baba au mama ungefanyaje? SHARE na wenzako wasome.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on April 27, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on April 27, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Raphael Okoth (Guest) on April 23, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on April 4, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on April 1, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on March 22, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joseph Kawawa (Guest) on March 15, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on March 4, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Malela (Guest) on February 7, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nashon (Guest) on February 7, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on January 31, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Sarah Achieng (Guest) on January 15, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on December 19, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mhina (Guest) on December 19, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Rukia (Guest) on December 7, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Malima (Guest) on December 3, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on November 30, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Kimotho (Guest) on November 17, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on September 30, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Hassan (Guest) on September 16, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lucy Kimotho (Guest) on September 13, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Henry Sokoine (Guest) on September 1, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Khadija (Guest) on August 12, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 25, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Umi (Guest) on June 23, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 21, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Jamal (Guest) on June 17, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Kheri (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 22, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Janet Wambura (Guest) on May 19, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

John Mwangi (Guest) on May 9, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on May 9, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Chum (Guest) on April 20, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jafari (Guest) on April 6, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Stephen Mushi (Guest) on April 6, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on March 20, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Robert Ndunguru (Guest) on March 13, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on February 25, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on February 14, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Patrick Mutua (Guest) on January 31, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Victor Kamau (Guest) on January 28, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on December 8, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mbise (Guest) on December 7, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on November 25, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on November 24, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Asha (Guest) on November 23, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Henry Sokoine (Guest) on November 14, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Nchi (Guest) on November 5, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Patrick Mutua (Guest) on October 8, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

James Kimani (Guest) on September 28, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on September 18, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Ruth Mtangi (Guest) on September 16, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jabir (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Anna Mahiga (Guest) on July 17, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on July 12, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

George Ndungu (Guest) on May 21, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on May 13, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Waithera (Guest) on April 24, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

πŸ“– Explore More Articles