Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Featured Image

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.

6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
πŸ’₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Mahiga (Guest) on February 20, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on February 13, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on January 2, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on December 15, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 4, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Violet Mumo (Guest) on November 22, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Lucy Mahiga (Guest) on November 7, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on October 21, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Fikiri (Guest) on October 13, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nancy Kabura (Guest) on September 28, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on September 17, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Jamal (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 1, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

James Mduma (Guest) on August 14, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on August 14, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Binti (Guest) on July 24, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mwanais (Guest) on June 13, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on May 23, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Victor Kimario (Guest) on May 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on April 29, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on April 26, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on April 10, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rahma (Guest) on March 16, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Arifa (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Nora Lowassa (Guest) on February 16, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Daniel Obura (Guest) on February 15, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elijah Mutua (Guest) on February 3, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nasra (Guest) on January 14, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Zakaria (Guest) on December 27, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Stephen Malecela (Guest) on December 16, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Janet Mbithe (Guest) on December 13, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Andrew Mahiga (Guest) on November 7, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on November 5, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mchome (Guest) on November 3, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Mariam Kawawa (Guest) on October 31, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on October 16, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on October 15, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zainab (Guest) on October 1, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on September 25, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Victor Sokoine (Guest) on September 13, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on August 27, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Daudi (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

John Lissu (Guest) on August 6, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on August 4, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mary Kidata (Guest) on July 23, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on July 20, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on July 16, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Esther Nyambura (Guest) on July 11, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 8, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mary Kidata (Guest) on June 28, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Zawadi (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Nancy Kawawa (Guest) on June 15, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

John Mushi (Guest) on June 12, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Amukowa (Guest) on June 12, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on May 26, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on May 21, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on May 9, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 8, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

George Wanjala (Guest) on April 12, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Related Posts

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More