Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Unakumbuka haya enzi za shule?

Featured Image

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6.wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7.ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8.unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9.vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwibaπŸ˜‚
10.hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule mwalim haupo
11.habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12.mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13.usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14.unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peniπŸ˜‚
15.ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16.siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na naji wanakagua kuni au mboleaπŸ˜†
πŸ˜‚
Dah shule zetu hizi kiboko!!

Ipi umeipitia wewe
Share na wengine

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Hekima (Guest) on March 10, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on February 23, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Janet Sumari (Guest) on February 23, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on February 14, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Jane Muthui (Guest) on December 13, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on November 16, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Rose Mwinuka (Guest) on November 5, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alice Mrema (Guest) on October 3, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on September 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 15, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on September 9, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Alex Nakitare (Guest) on August 30, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on August 6, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on July 9, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Chris Okello (Guest) on June 29, 2021

🀣πŸ”₯😊

Catherine Naliaka (Guest) on June 23, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

James Kimani (Guest) on June 3, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on May 29, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 13, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Chris Okello (Guest) on May 10, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on May 10, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Janet Wambura (Guest) on May 2, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

James Mduma (Guest) on April 12, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 19, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on March 19, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on March 12, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on February 1, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Mallya (Guest) on January 27, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

John Mushi (Guest) on January 27, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Mwinuka (Guest) on January 3, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Chris Okello (Guest) on December 28, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on December 23, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on December 5, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on December 5, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Sumaye (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on October 27, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on October 21, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Muslima (Guest) on October 18, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on September 27, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on September 2, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mwachumu (Guest) on August 17, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Peter Mwambui (Guest) on July 15, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on July 10, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Rose Waithera (Guest) on June 15, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nchi (Guest) on June 7, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Stephen Malecela (Guest) on April 27, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Biashara (Guest) on April 23, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Andrew Odhiambo (Guest) on April 13, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on March 18, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Nkya (Guest) on March 18, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Edward Lowassa (Guest) on February 18, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Hawa (Guest) on December 15, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Janet Sumari (Guest) on December 15, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwanaisha (Guest) on December 6, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on November 29, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Fikiri (Guest) on November 24, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on November 20, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Chiku (Guest) on November 4, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Related Posts

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About