Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Featured Image

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,

Jamaa: Muhudumu nipe supu na kila mtu humu ndani mpe supu maana ninapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu. Watu wakapewa supu tena safari hii wakapiga makofi.
Jamaa: Muhudumu nipe bili, na kila mtu humu ndani mpe bili maana wakati nalipa bili yangu kila mtu lazima alipe yake. Zogo lilianzia hapo…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

John Lissu (Guest) on March 6, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ali (Guest) on February 7, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Joseph Kitine (Guest) on January 23, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on January 12, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mashaka (Guest) on December 29, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on December 23, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on December 21, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on December 13, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Margaret Mahiga (Guest) on December 12, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mchawi (Guest) on November 16, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Kimotho (Guest) on November 10, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Kenneth Murithi (Guest) on October 31, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Zuhura (Guest) on October 28, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mariam (Guest) on October 10, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Rose Kiwanga (Guest) on October 7, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joyce Aoko (Guest) on October 6, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on October 4, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Sharon Kibiru (Guest) on September 23, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on September 22, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anna Mahiga (Guest) on August 18, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on August 5, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Malima (Guest) on August 2, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on July 24, 2021

Asante Ackyshine

Grace Mligo (Guest) on June 28, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on June 27, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on June 21, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 9, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 4, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Janet Sumaye (Guest) on June 1, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jamila (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mercy Atieno (Guest) on May 2, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwachumu (Guest) on April 15, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Kiza (Guest) on April 13, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on April 8, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Habiba (Guest) on March 27, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Raphael Okoth (Guest) on March 16, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Josephine Nekesa (Guest) on March 12, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on February 14, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Amir (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Kimario (Guest) on January 3, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Linda Karimi (Guest) on December 25, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on December 25, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mohamed (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Sharon Kibiru (Guest) on November 14, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 12, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Ruth Mtangi (Guest) on September 18, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Hassan (Guest) on August 30, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Frank Macha (Guest) on August 14, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Nancy Kawawa (Guest) on August 12, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on July 29, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

John Kamande (Guest) on July 5, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on June 21, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

George Mallya (Guest) on June 15, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on May 20, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on April 16, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Michael Onyango (Guest) on April 16, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mwafirika (Guest) on April 13, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on April 12, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

πŸ“– Explore More Articles