Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Featured Image

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?
Zuzu: Twende chumbani kwako (wakaenda)
Anna: Haya nionyeshe…

Zuzu: Funga mlango na madirisha kwanza (akafunga)
Anna: Haya nionyeshe sasa!..
Zuzu: Zima taa kwanza (akazima)
Anna: Mhm…nionyeshe sasa!
Zuzu: Haya njoo hapa kitandani…
Anna: Ok, nionyeshe!
Zuzu: Ona nimenunua saa ambayo inawaka yenyewe gizani… Acha mawazo mabaya ww???

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nyota (Guest) on November 9, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rose Waithera (Guest) on October 3, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on June 10, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Ann Awino (Guest) on June 5, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Paul Kamau (Guest) on May 28, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 22, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on May 2, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joyce Nkya (Guest) on April 29, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Zubeida (Guest) on April 19, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 5, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on March 27, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on March 24, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

David Ochieng (Guest) on March 11, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on March 8, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on February 17, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Nuru (Guest) on February 17, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Zakaria (Guest) on February 3, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on January 31, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Joyce Aoko (Guest) on January 26, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 23, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Francis Mtangi (Guest) on January 15, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on January 10, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jacob Kiplangat (Guest) on January 10, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Margaret Mahiga (Guest) on November 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Fredrick Mutiso (Guest) on November 11, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on October 3, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Shamsa (Guest) on September 30, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Maimuna (Guest) on September 23, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Samuel Were (Guest) on September 16, 2020

😊🀣πŸ”₯

Athumani (Guest) on September 14, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Lucy Kimotho (Guest) on September 13, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on September 5, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on August 31, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on August 13, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Amir (Guest) on August 5, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on July 24, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Baridi (Guest) on July 20, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on July 16, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on July 7, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Josephine Nekesa (Guest) on July 5, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on May 19, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Asha (Guest) on May 6, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Frank Macha (Guest) on May 3, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on March 8, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on March 2, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Nyerere (Guest) on January 9, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on December 24, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on December 19, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 7, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Nahida (Guest) on October 24, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Edward Lowassa (Guest) on September 20, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mwinyi (Guest) on September 16, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jane Muthoni (Guest) on September 12, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Neema (Guest) on August 23, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Frank Macha (Guest) on July 4, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Zakaria (Guest) on June 8, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Alice Wanjiru (Guest) on May 26, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on May 10, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Michael Mboya (Guest) on May 10, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About