Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mambo yanayoweza kusababisha sala au maombi yako yasijibiwe

Featured Image
Mara nyingi tumekua tukiomba lakini hatupati, sababu zinaweza zikawa hizi ;

1. Mawazo na matarajio yetu

Mara nyingi tunajifunga kwenye maombi yetu pale tunapoomba na kisha kuanza kuwaza "hivi Mungu atanipa kikubwa au kidogo au atanisaidia sana au kidogo" Au tunaomba halafu tunakua na matarajio tofauti na kile tunachoomba. Aidha tunatarajia kupata kidogo au kikubwa.
Hali hii ni sawa na kumuwekea Mungu kizuizi kwenye maombi yako. Yaani kumuongoza Mungu afanye kwa kiasi kile unachofikiri.

2. Kulenga kutizamwa na watu.

Hii ni kuomba kwa majivuno yaani kuomba ili ukishapata watu waone kuwa umepata.
Jambo hili linamchukiza Mungu ndio maana unapoomba kupewa kitu au kusaidiwa kitu Mungu hafanyi /hakupi. Na Mara nyingine hata vile ulivyonavyo unanyan'ganywa kwa kuwa hauombi kwa utukufu wa Mungu bali kwa utukufu wako.
Hali hii ni sawa na kumuwekea Mungu ukuta kwenye maisha yako.

Namna njema ya kuomba ni hii

1. Kutokuomba mambo makuu sana ambayo huna haja nayo na hayana maana katika maisha yako.
2. Kutokuomba mambo madogo kwa mawazo labda nikiomba makubwa Mungu hataweza
3. Kutokuomba kwa ajili ya kutaka kuonekana na watu.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Nyalandu (Guest) on July 20, 2024

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mariam Hassan (Guest) on June 5, 2024

Nakuombea πŸ™

John Malisa (Guest) on December 19, 2023

Neema ya Mungu inatosha kwako

Alice Mrema (Guest) on September 11, 2023

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Rose Kiwanga (Guest) on September 7, 2023

Rehema hushinda hukumu

Elijah Mutua (Guest) on May 8, 2023

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 27, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Agnes Sumaye (Guest) on March 15, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Peter Tibaijuka (Guest) on January 31, 2023

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Michael Mboya (Guest) on November 4, 2022

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Kenneth Murithi (Guest) on August 9, 2022

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Grace Njuguna (Guest) on July 26, 2022

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Elizabeth Malima (Guest) on March 16, 2022

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Chris Okello (Guest) on January 31, 2022

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Alice Jebet (Guest) on January 20, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

James Kimani (Guest) on September 14, 2021

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Elizabeth Mrope (Guest) on August 17, 2021

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Agnes Njeri (Guest) on March 25, 2021

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Sarah Karani (Guest) on March 3, 2021

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

George Mallya (Guest) on December 26, 2020

Neema na amani iwe nawe.

Nancy Akumu (Guest) on December 9, 2020

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Francis Njeru (Guest) on October 29, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jane Muthui (Guest) on July 29, 2020

Mwamini katika mpango wake.

Irene Makena (Guest) on June 27, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Mariam Kawawa (Guest) on December 14, 2019

Rehema zake hudumu milele

Francis Njeru (Guest) on November 9, 2019

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Charles Mrope (Guest) on November 4, 2019

Imani inaweza kusogeza milima

Simon Kiprono (Guest) on November 25, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Rose Mwinuka (Guest) on November 4, 2018

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Andrew Mahiga (Guest) on November 3, 2018

Dumu katika Bwana.

Joseph Kiwanga (Guest) on October 13, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Mary Mrope (Guest) on August 8, 2018

Sifa kwa Bwana!

Mariam Kawawa (Guest) on August 4, 2018

Mungu akubariki!

Henry Sokoine (Guest) on February 27, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Rose Mwinuka (Guest) on January 16, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Mariam Hassan (Guest) on December 1, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Sharon Kibiru (Guest) on November 19, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Michael Onyango (Guest) on August 24, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Elizabeth Mrema (Guest) on August 7, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Edwin Ndambuki (Guest) on July 27, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Jane Muthui (Guest) on June 2, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Robert Okello (Guest) on May 21, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Rose Mwinuka (Guest) on April 15, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Faith Kariuki (Guest) on December 5, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Josephine Nduta (Guest) on November 3, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Anna Malela (Guest) on October 30, 2016

Endelea kuwa na imani!

Raphael Okoth (Guest) on August 29, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Janet Mwikali (Guest) on July 8, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Victor Kimario (Guest) on May 7, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Elizabeth Mrema (Guest) on October 29, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Related Posts

Ishi kama Penseli ili uwe mtu bora

Ishi kama Penseli ili uwe mtu bora

Muumbaji wa penseli alipomaliza kuiumba penseli yake aliiambia mambo muhimu ya kuzingatia ili iwe... Read More

Ni nini umuhimu wa Bikira Maria katika imani ya Kanisa Katoliki?

Ni nini umuhimu wa Bikira Maria katika imani ya Kanisa Katoliki?

Ni nini umuhimu wa Bikira Maria katika imani ya Kanisa Katoliki?

Katika imani ya Kanisa Ka... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi maisha matakatifu na kuwa mashuhuda wa Injili?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi maisha matakatifu na kuwa mashuhuda wa Injili?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi maisha matakatifu na kuwa mashuhuda wa Injili? Ji... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Roho Mtakatifu kama Mungu aliye hai? Jibu fupi ni ndiyo, Kanisa l... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu imani na matendo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu imani na matendo?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu makubwa zaidi ya Ukristo duniani. Na kama madhehebu mengine ... Read More

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Karibu kwenye makala hii, ambapo tutajadili suala la utoaji mimba na jinsi Kanisa Katoliki linavy... Read More

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Read More
Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu tofauti za kijamii na uadilifu wa kijamii?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu tofauti za kijamii na uadilifu wa kijamii?

Kanisa Katoliki limekuwa likitetea uadilifu wa kijamii na tofauti za kijamii kama sehemu ya imani... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, Mungu ni muumba na mwanzilishi wa maisha yote duniani. Kama waam... Read More

Biblia inatuambia nini kuhusu pombe?

Biblia inatuambia nini kuhusu pombe?

Angalizo; Tunapoongelea kuhusu pombe sio kwamba tunahamasisha kutumia pombe bali tuelewe kile tunach... Read More
Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

NDOA sio kichaka cha kujificha kukimbia matatizo. NDOA sio mahali pa kutolea mkosi. Wala sio maha... Read More

Ibada ya Chaplet ya Huruma ya Mungu: Sala ya Upatanisho na Ukombozi

Ibada ya Chaplet ya Huruma ya Mungu: Sala ya Upatanisho na Ukombozi

Ibada ya Chaplet ya Huruma ya Mungu: Sala ya Upatanisho na Ukombozi

Sala ni njia ya kuwasi... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About