Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Zifahamu dhambi ambazo huondolewa na PAPA pekee au Padre kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Baba Mtakatifu

Featured Image
1.Kumdhuru baba mtakatifu kimwili mfano:kumpiga au kumtemea mate
2.Kukufuru Ekaristi Takatifu mfano kutema na kuchezea kwa namna yoyote kama ya kishirikina.
3.Padri kutenda dhambi na muumini mfano : kuzini
4.Askofu kumpa padre uaskofu padre yeyote bila ruhusa ya baba mtakatifu.
NB:jiandae kufanya kitubio kama unaguswa na dhambi yoyote kati ya hizo kwani kuna mchakato maalumu wa kuteuliwa kwa mapadre zaidi ya 800 na baba mtakatifu kwenda dunia zima kwa kuwaondolea watu wenye dhambi hizo. Tumsifu Yesu Kristu ๐Ÿ™๐Ÿฟ
Kuhusu dhambi namba 3 inakosa tu maelezo.Na maelezo yake ni haya;
Padre kuzini na muumini hiyo inabaki kuwa ni dhambi Kati ya Padre na muumini wake.Kwa dhambi hiyo Padre anaweza akatafuta Padre mwenzake akaungama kadhalika na kwa muumini huyo.
Shida ni pale tu endapo,Padre anataka KUMUUNGAMISHA mwanamke (muumini) aliyetoka KUZINI naye au yule ANAYEZINI naye hiyo dhambi na kosa hilo hata Askofu wako hana mamlaka ya kukuungamisha wala kukusamehe ni kiti cha Baba Mtakatifu pekee chini ya Congregatio inayoshughulikia mambo matakatifu iitwayo kwa kifupi CDF yaani Congregation for Doctrine of Faith.
Ambayo inashughulikia na mambo mawili hasa makuu yaani;
1.Protection of Sanctity of Sacraments
2.Dealing with Grave Disorders and bad conducts in the Church.
Kwa ufupi ndio hivyo ninaweza kukwambia.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Majaliwa (Guest) on June 26, 2024

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Frank Sokoine (Guest) on April 28, 2024

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Betty Kimaro (Guest) on August 29, 2023

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Nora Kidata (Guest) on June 23, 2023

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Linda Karimi (Guest) on June 16, 2023

Nakuombea ๐Ÿ™

Nancy Komba (Guest) on June 5, 2023

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Francis Mrope (Guest) on May 9, 2023

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Francis Mtangi (Guest) on January 9, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Alice Wanjiru (Guest) on November 6, 2022

Endelea kuwa na imani!

Susan Wangari (Guest) on October 26, 2022

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joseph Kitine (Guest) on July 20, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

David Ochieng (Guest) on July 1, 2022

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Kevin Maina (Guest) on April 9, 2022

Neema na amani iwe nawe.

Raphael Okoth (Guest) on March 11, 2022

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Mary Kidata (Guest) on March 8, 2022

Sifa kwa Bwana!

Rose Mwinuka (Guest) on February 26, 2022

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

George Wanjala (Guest) on February 22, 2022

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Sarah Karani (Guest) on December 13, 2021

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Isaac Kiptoo (Guest) on September 29, 2021

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Andrew Mchome (Guest) on July 2, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Michael Mboya (Guest) on February 25, 2021

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 8, 2020

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Philip Nyaga (Guest) on April 8, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Diana Mallya (Guest) on December 22, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Alice Wanjiru (Guest) on December 12, 2019

Mungu akubariki!

Josephine Nekesa (Guest) on July 10, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

John Malisa (Guest) on March 4, 2019

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Francis Mrope (Guest) on February 5, 2019

Katika imani, yote yanawezekana

Janet Mwikali (Guest) on December 16, 2018

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Raphael Okoth (Guest) on November 24, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Anna Sumari (Guest) on September 17, 2018

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

John Mwangi (Guest) on September 9, 2018

Baraka kwako na familia yako.

Joseph Njoroge (Guest) on August 18, 2018

Mungu ni mwema, wakati wote!

Monica Lissu (Guest) on May 15, 2018

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Nora Lowassa (Guest) on February 24, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Nora Kidata (Guest) on November 15, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Charles Mboje (Guest) on August 27, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Raphael Okoth (Guest) on May 7, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Francis Mrope (Guest) on May 2, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Diana Mallya (Guest) on January 10, 2017

Dumu katika Bwana.

Charles Mchome (Guest) on July 27, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Lydia Mutheu (Guest) on July 5, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Jackson Makori (Guest) on May 23, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Patrick Akech (Guest) on April 16, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Sarah Karani (Guest) on April 13, 2016

Rehema zake hudumu milele

Martin Otieno (Guest) on December 22, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Mary Mrope (Guest) on October 16, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

John Lissu (Guest) on September 23, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Miriam Mchome (Guest) on September 13, 2015

Rehema hushinda hukumu

Rose Lowassa (Guest) on August 14, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Related Posts

Kuomba Msamaha katika Huruma ya Mungu: Njia ya Uongofu

Kuomba Msamaha katika Huruma ya Mungu: Njia ya Uongofu

  1. Kuomba Msamaha ni Njia ya Uongofu

Katika maisha yetu, tunakosea wakati mwingi... Read More

Je, Kanisa Katoliki linatetea na kufundisha maadili ya kijinsia na thamani ya ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

Je, Kanisa Katoliki linatetea na kufundisha maadili ya kijinsia na thamani ya ndoa kati ya mwanaume na mwanamke?

Katoliki ni dini inayoheshimu na kufundisha thamani ya maisha ya binadamu. Kanisa Katoliki linafu... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu umoja wa Kanisa?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu umoja wa Kanisa?

Kanisa Katoliki ni moja ya madhehebu makubwa ya Kikristo duniani. Imani yake kuhusu umoja wa Kani... Read More

Je Bikira Maria Alizaa Watoto Wengine?

Je Bikira Maria Alizaa Watoto Wengine?

Read More
Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kufuata na kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha yao?

Katika imani ya Kanisa Katoliki, Mungu ni muumba na mwanzilishi wa maisha yote duniani. Kama waam... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya sala?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya sala?

Kanisa Katoliki linathamini sana maombi kama sehemu muhimu ya maisha yetu ya kiroho. Imani yetu i... Read More

Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

NDOA sio kichaka cha kujificha kukimbia matatizo. NDOA sio mahali pa kutolea mkosi. Wala sio maha... Read More

Kilichowapata Watu 8 waliowahi kumdhihaki Mungu

Kilichowapata Watu 8 waliowahi kumdhihaki Mungu

1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)

Wakati alipokuwa akihojiwa na Mwandishi wa habari wa gazeti la #A... Read More

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi uadilifu wa kijamii na kupinga ubaguzi na ukosefu wa haki katika jamii?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi uadilifu wa kijamii na kupinga ubaguzi na ukosefu wa haki katika jamii?

Je, Kanisa Katoliki linawahimiza waamini kuishi uadilifu wa kijamii na kupinga ubaguzi na ukosefu... Read More

Tarehe ya Pasaka inavyopatikana

Tarehe ya Pasaka inavyopatikana

KWANINI TAREHE ZA PASAKA HUBADILIKA KILA MWAKA ??

JIBU:
KALENDA za mwanzo ziliutumia m... Read More

Kwa nini tarehe ya Pasaka hubadilika

Kwa nini tarehe ya Pasaka hubadilika

KALENDA za mwanzo ziliutumia mwezi wa angani kama kipimo cha muda. Ziliitwa โ€œLunar calenderโ€ au ... Read More
Ibada ya Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Upendo na Ukarimu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Upendo na Ukarimu

Ibada ya Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Upendo na Ukarimu

Karibu kwa maelezo ya Ibada ya Huru... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About