Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Mkulima: Mama yako?

Mtoto: Nae kaenda mjini na baba.

Mkulima: Kaka yako Howard yupo?

Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa.
Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu.

Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Mbithe (Guest) on July 6, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Kassim (Guest) on June 28, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Sofia (Guest) on May 29, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 18, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Halimah (Guest) on May 5, 2024

🀣 Hii imewaka moto!

Joyce Mussa (Guest) on May 4, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on April 24, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on April 5, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 18, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Mrema (Guest) on March 13, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on March 2, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Leila (Guest) on February 20, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Agnes Sumaye (Guest) on January 20, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 2, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on December 21, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Grace Mligo (Guest) on December 10, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on December 3, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Dorothy Nkya (Guest) on November 22, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Kawawa (Guest) on October 29, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ruth Wanjiku (Guest) on September 22, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on August 21, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on August 6, 2025

Pja

Mary Sokoine (Guest) on July 17, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on July 8, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on June 29, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alice Mwikali (Guest) on May 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Tabitha Okumu (Guest) on April 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Baridi (Guest) on April 26, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Yusra (Guest) on April 25, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Monica Adhiambo (Guest) on April 1, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Musyoka (Guest) on March 31, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on March 14, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on February 3, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 28, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Wilson Ombati (Guest) on January 16, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on January 5, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on January 2, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on December 27, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Ali (Guest) on December 21, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on December 20, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Sarah Mbise (Guest) on December 18, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mtumwa (Guest) on November 18, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Anna Malela (Guest) on October 26, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on October 19, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Peter Otieno (Guest) on October 18, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maulid (Guest) on September 8, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mariam Hassan (Guest) on September 5, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on September 3, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Amina (Guest) on August 21, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on August 5, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 18, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on July 14, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on May 10, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on May 8, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 24, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 16, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Related Posts

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About