Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Featured Image

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya shetani, Mungu amtiishe, tunaomba sana, nawe Mkuu wa Majeshi ya Mbinguni kwa nguvu ya Mungu uwaangushe motoni shetani na pepo wabaya wengine wote, wanaozunguka duniani, ili kuzipoteza roho za watu. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Fellie (Guest) on July 24, 2024

Mungu atubariki sote.Mtakatifu Mikaeli malaika mkuu utulinde katika hila zote na umtupe mbali muovu shetani amina

Guest (Guest) on November 18, 2025

Эта обзорная заметка содержит ключевые моменты и факты по актуальным вопросам. Она поможет читателям быстро ориентироваться в теме и узнать о самых важных аспектах сегодня. Получите краткий курс по современной информации и оставайтесь в курсе событий!
Разобраться лучше - https://vivod-iz-zapoya-1.ru/

Kenneth Murithi (Guest) on July 1, 2024

🙏✨ Mungu atupe nguvu

Nancy Akumu (Guest) on May 27, 2024

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Grace Minja (Guest) on May 10, 2024

🙏🌟 Neema za Mungu zisikose

George Tenga (Guest) on February 10, 2024

🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako

Dorothy Nkya (Guest) on January 20, 2024

🙏❤️💖 Bwana akujalie baraka

Anna Mahiga (Guest) on January 8, 2024

Neema ya Mungu inatosha kwako

Betty Akinyi (Guest) on December 15, 2023

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Charles Mboje (Guest) on September 19, 2023

🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe

Alex Nyamweya (Guest) on September 16, 2023

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

George Mallya (Guest) on August 18, 2023

🙏✨❤️ Tumwombe Mungu kila siku

Sarah Mbise (Guest) on July 25, 2023

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Mariam Kawawa (Guest) on February 2, 2023

Katika imani, yote yanawezekana

Lucy Mushi (Guest) on December 11, 2022

🙏💖🙏 Mungu akufunike na upendo

Catherine Naliaka (Guest) on October 9, 2022

🙏🌟 Mungu akujalie amani

Tabitha Okumu (Guest) on September 23, 2022

🙏🌟 Mbarikiwe sana

Francis Njeru (Guest) on June 4, 2022

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Henry Sokoine (Guest) on May 5, 2022

🙏💖💫 Mungu ni mwema

Alice Mwikali (Guest) on April 15, 2022

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Brian Karanja (Guest) on October 21, 2021

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Bernard Oduor (Guest) on September 22, 2021

🙏❤️ Mungu ni mkombozi

Linda Karimi (Guest) on August 28, 2021

Tumaini ni nanga ya roho

Joseph Kiwanga (Guest) on August 19, 2021

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Monica Nyalandu (Guest) on June 26, 2021

🙏❤️ Mungu akubariki

George Wanjala (Guest) on June 25, 2021

🙏💖 Nakushukuru Mungu

Anna Sumari (Guest) on June 15, 2021

🙏💖 Asante kwa neema zako Mungu

Alice Jebet (Guest) on March 16, 2021

🙏❤️✨ Mungu akujalie furaha

Mary Kendi (Guest) on March 11, 2021

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Martin Otieno (Guest) on February 20, 2021

🙏✨❤️ Neema za Mungu zikufunike

David Ochieng (Guest) on February 11, 2021

🙏💖✨ Neema yako ni ya kutosha

Betty Kimaro (Guest) on January 12, 2021

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lucy Kimotho (Guest) on November 13, 2020

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Elizabeth Mrope (Guest) on July 31, 2020

🙏🙏🙏

Francis Mtangi (Guest) on July 10, 2020

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Grace Wairimu (Guest) on June 23, 2020

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

George Ndungu (Guest) on June 2, 2020

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Victor Kimario (Guest) on March 2, 2020

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Thomas Mtaki (Guest) on March 1, 2020

🙏💖 Mungu wetu asifiwe

Andrew Odhiambo (Guest) on December 30, 2019

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Simon Kiprono (Guest) on December 24, 2019

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Jacob Kiplangat (Guest) on August 19, 2019

🙏❤️✨ Asante Mungu kwa kila kitu

Mary Kidata (Guest) on July 24, 2019

Nakuombea 🙏

Mary Sokoine (Guest) on July 14, 2019

🙏🌟 Namuomba Mungu akupiganie

Edward Chepkoech (Guest) on June 12, 2019

Dumu katika Bwana.

Anna Sumari (Guest) on April 10, 2019

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Samuel Were (Guest) on March 10, 2019

🙏❤️💖 Tumshukuru Mungu kwa yote

Sarah Mbise (Guest) on January 19, 2019

Amina

Stephen Malecela (Guest) on December 31, 2018

🙏🌟 Mungu alete amani

Isaac Kiptoo (Guest) on December 15, 2018

Nguvu hutoka kwa Bwana

Emily Chepngeno (Guest) on November 2, 2018

🙏❤️🌟 Asante Mungu kwa uhai

Hellen Nduta (Guest) on October 30, 2018

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Sarah Karani (Guest) on October 6, 2018

Endelea kuwa na imani!

Elizabeth Mrema (Guest) on September 15, 2018

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Benjamin Masanja (Guest) on August 20, 2018

Rehema hushinda hukumu

Patrick Kidata (Guest) on July 3, 2018

🙏✨ Mungu atakuinua

George Ndungu (Guest) on May 13, 2018

Imani inaweza kusogeza milima

Wilson Ombati (Guest) on April 6, 2018

🙏✨ Mungu asikie maombi yetu

Janet Sumaye (Guest) on March 25, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Sarah Mbise (Guest) on February 22, 2018

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Related Posts

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

📖 Explore More Articles