Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Featured Image

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yale mambo yao ya Sumbawanga, akampachika Rashidi i jinsia ya kike.

Alipofika mahakamani kuhojiwa Rashidi akasema sijampa ujauzito kwa sababu mimi pia nina jinsia ya kike.
Kwa kuthibitisha Rashid wakaenda kumkagua basi akashinda kesi, kufika nyumbani Rashid akawakuta watu wamejaa wanalia, akauliza kulikoni?
Akaambiwa bibi yako amefariki. πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜°πŸ˜°πŸ˜°πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Kwa sasa Rashid anaitwa LeilaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Atiliomgute (User) on August 29, 2025

Patam hapo

Jacob Kiplangat (Guest) on May 28, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Joseph Njoroge (Guest) on May 20, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on May 16, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on May 8, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

John Lissu (Guest) on April 23, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Muthui (Guest) on April 3, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on March 21, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on March 19, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on February 22, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Victor Sokoine (Guest) on February 13, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on January 31, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nora Lowassa (Guest) on January 31, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on January 15, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on January 15, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Rahma (Guest) on January 2, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Arifa (Guest) on December 12, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Asha (Guest) on November 16, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Jackson Makori (Guest) on November 12, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on November 2, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on October 31, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on October 24, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on October 2, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on September 26, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on September 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Nassar (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Salum (Guest) on August 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Margaret Anyango (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mtumwa (Guest) on July 10, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Rose Mwinuka (Guest) on June 23, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

George Mallya (Guest) on June 18, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Peter Mwambui (Guest) on June 13, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on June 11, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on March 30, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on March 22, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

James Kimani (Guest) on March 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on January 7, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Diana Mumbua (Guest) on December 30, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on December 17, 2022

Asante Ackyshine

Khamis (Guest) on December 12, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Michael Onyango (Guest) on December 8, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on October 1, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Abubakari (Guest) on September 21, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Rose Lowassa (Guest) on August 24, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on July 27, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on July 24, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Saidi (Guest) on July 20, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Tabu (Guest) on July 15, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mwachumu (Guest) on July 11, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Brian Karanja (Guest) on May 30, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 28, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on May 9, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 30, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

George Ndungu (Guest) on April 20, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on April 13, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on March 21, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on March 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on January 2, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About