Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Featured Image

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani nikatamani fursana nikaingia kijisupermarket mara sindo nakutana na ex wangu! Mshenzi yule kaniona mimi sijui alikua na mpango wa kununua vocha ya jero eti kabadili kanunua vocha ya buku tano ilimradi nione maisha yake safi tangu tuachane. Mambo ya kijinga spendi kudadeky nimetoa buku kumi nikanunua mipampers nami nijifanye nimeowa nina mtoto halafu huyoo nikashika njia yangu.

Sasa washkaji zangu tafadhalini mwenye mtoto au shida ya pampers naomba anunue kwangu maana leo nalala tena kiza πŸ™†β€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sarah Achieng (Guest) on July 8, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on May 18, 2024

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on May 17, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on May 5, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on May 4, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Alice Mrema (Guest) on April 10, 2024

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on March 23, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Frank Sokoine (Guest) on February 24, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on February 16, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on February 10, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Irene Makena (Guest) on February 10, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on January 24, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on January 9, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on December 30, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Mahiga (Guest) on December 15, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mgeni (Guest) on December 9, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mary Njeri (Guest) on December 2, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Yahya (Guest) on December 2, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Anthony Kariuki (Guest) on November 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on November 19, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on November 16, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Lydia Mahiga (Guest) on November 15, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Njoroge (Guest) on November 2, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Habiba (Guest) on October 28, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Daniel Obura (Guest) on October 9, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Omar (Guest) on September 24, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Kamande (Guest) on August 22, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on August 18, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on August 14, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on June 16, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Njuguna (Guest) on April 29, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Carol Nyakio (Guest) on April 18, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Peter Mugendi (Guest) on April 7, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on April 7, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Njeru (Guest) on January 19, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mchuma (Guest) on January 1, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mariam (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Rose Amukowa (Guest) on December 2, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Esther Nyambura (Guest) on November 29, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Philip Nyaga (Guest) on November 29, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mary Kidata (Guest) on November 26, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mjaka (Guest) on November 12, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Charles Wafula (Guest) on November 11, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Malima (Guest) on August 4, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on July 14, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Hawa (Guest) on July 9, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Joyce Mussa (Guest) on June 12, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on June 4, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nahida (Guest) on June 2, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Samuel Were (Guest) on May 18, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Elizabeth Malima (Guest) on May 12, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Biashara (Guest) on April 29, 2022

Asante Ackyshine

Janet Sumaye (Guest) on April 16, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

George Ndungu (Guest) on March 19, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Elizabeth Mrope (Guest) on March 17, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Paul Ndomba (Guest) on March 15, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on March 15, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nassar (Guest) on March 1, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Fikiri (Guest) on February 26, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Monica Nyalandu (Guest) on February 1, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
πŸ“– Explore More Articles