Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Featured Image

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani nikatamani fursana nikaingia kijisupermarket mara sindo nakutana na ex wangu! Mshenzi yule kaniona mimi sijui alikua na mpango wa kununua vocha ya jero eti kabadili kanunua vocha ya buku tano ilimradi nione maisha yake safi tangu tuachane. Mambo ya kijinga spendi kudadeky nimetoa buku kumi nikanunua mipampers nami nijifanye nimeowa nina mtoto halafu huyoo nikashika njia yangu.

Sasa washkaji zangu tafadhalini mwenye mtoto au shida ya pampers naomba anunue kwangu maana leo nalala tena kiza πŸ™†β€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sarah Achieng (Guest) on July 8, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on May 18, 2024

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on May 17, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on May 5, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on May 4, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Alice Mrema (Guest) on April 10, 2024

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on March 23, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Frank Sokoine (Guest) on February 24, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on February 16, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on February 10, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Irene Makena (Guest) on February 10, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on January 24, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on January 9, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on December 30, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Mahiga (Guest) on December 15, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mgeni (Guest) on December 9, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mary Njeri (Guest) on December 2, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Yahya (Guest) on December 2, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Anthony Kariuki (Guest) on November 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on November 19, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on November 16, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Lydia Mahiga (Guest) on November 15, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Njoroge (Guest) on November 2, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Habiba (Guest) on October 28, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Daniel Obura (Guest) on October 9, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Omar (Guest) on September 24, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Kamande (Guest) on August 22, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on August 18, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on August 14, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on June 16, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Njuguna (Guest) on April 29, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Carol Nyakio (Guest) on April 18, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Peter Mugendi (Guest) on April 7, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on April 7, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Njeru (Guest) on January 19, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mchuma (Guest) on January 1, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mariam (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Rose Amukowa (Guest) on December 2, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Esther Nyambura (Guest) on November 29, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Philip Nyaga (Guest) on November 29, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mary Kidata (Guest) on November 26, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mjaka (Guest) on November 12, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Charles Wafula (Guest) on November 11, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Malima (Guest) on August 4, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on July 14, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Hawa (Guest) on July 9, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Joyce Mussa (Guest) on June 12, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on June 4, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nahida (Guest) on June 2, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Samuel Were (Guest) on May 18, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Elizabeth Malima (Guest) on May 12, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Biashara (Guest) on April 29, 2022

Asante Ackyshine

Janet Sumaye (Guest) on April 16, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

George Ndungu (Guest) on March 19, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Elizabeth Mrope (Guest) on March 17, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Paul Ndomba (Guest) on March 15, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on March 15, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nassar (Guest) on March 1, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Fikiri (Guest) on February 26, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Monica Nyalandu (Guest) on February 1, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About