Log in to access your menu with tools for managing π tasks, π₯ clients, π° finances, π learning, π personal growth, and π spirituality, all in one place!.
Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:04:02 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mtoto ni wa baba au wa mama?
Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto.
MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu?
Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:05:07 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Demu: Hny mambo jamani!
Man: Safi nipe habari wangu wa moyo
Demu:Wafanya kazi gani vile wangu?
Man: Ni fundi wa kufunga ATM
Demu: Wow dont tel me i love you myn mwa mwa mwaaaaah
MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:05:15 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!!!
2. Ka wafikiri Una haraka sana Shuka ukimbie.
3. Nauli kulipa lazima ,Chenji ukikumbuka.
Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:02:40 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha!
MKE; Vipi leo mbona mpole?
MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa.
MKE; Ilikuaje wewe ukapona?