Log in to access your menu with tools for managing π tasks, π₯ clients, π° finances, π learning, π personal growth, and π spirituality, all in one place!.
Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake
π β
Available in PDF
Updated at: 2023-04-29 22:53:12 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla
akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye A.T.M binti
akaamua kujificha na kumtumia boyfriend wake sms ya
kimahaba
Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:07:32 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani nilifanya mapenzi na dada yako, mdogo wako, rafiki yako na mama yako
Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya
π β
Available in PDF
Updated at: 2023-04-29 22:52:17 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.
Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu
π β
Available in PDF
Updated at: 2023-04-29 22:53:54 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambulisha 1. Naitwa Anna niko SUA mwaka3 nasoma agriculture 2. Naitwa Stella niko UDSM mwaka2 nasoma public relation