Log in to access your menu with tools for managing π tasks, π₯ clients, π° finances, π learning, π personal growth, and π spirituality, all in one place!.
eBooks: Mbinu za Kilimo na Ufugaji Kukuongezea Mapato - Topic 2 - AckySHINE
Jinsi ya kuandaa mbangimwitu kama Dawa ya magonjwa na ya kuulia wadudu shambani
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:05 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mbangi mwitu au kwa kisayansi ni African marigold / (Tagetes erecta) Unazuia Bakteria, fungusi na wadudu kama vile Siafu, bungo pamoja na aina nyingine za wadudu.
Updated at: 2024-05-23 15:46:04 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukaguzi wa Kila siku β’ Hakikisha unasafisha vyombo vya kulishia na kunyweshea pamoja na viota. β’ Ondoa kinyesi kwa kuku. β’ Waangalie kuku wako kwa makini ili kujua afya na maendeleo yao. Yaani ili kutambua kama kuna mwenye ugonjwa
Mambo 5 ya muhimu kuzingatia kuhusu mahali unapotaka kuweka mizinga ya nyuki
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:06 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukitaka kujua kuwa eneo unalotaka kuweka mizinga ya nyuki ni sahihi unatakiwa kuzingatia yafuatayo:
1. Haishauriwi kuweka mzinga shambani au karibu na shamba. Unatakiwa uweke umbali wa mita 150-200 kutoka kwenye mazao au nyumbani. Hii ni Kulingana na hali ya kujilinda ya nyuki wa Afrika
Ugonjwa wa tetanasi au pepopunda unaoathiri sana punda na binadamu
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:45:56 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huu ni ugonjwa hatari sana kwa maisha ya binadamu. Kinyesi cha punda kinabeba vimelea vijulikanavyo kama clostindium tetanii vinavyosababisha ugonjwa wa tetanasi.
Wadudu hawa wanaweza kuishi katika viumbe wote wenye damu moto maarufu kama mamalia na ndege, na wanapotoka ndani ya miili ya viumbe hao wadudu hao wanaweza kuishi kwenye udongo kwa miaka mingi
Namna ya kufanya Ukaguzi wa mara kwa mara wa banda la kuku kuzuia magonjwa
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:03 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukaguzi wa Kila siku β’ Hakikisha unasafisha vyombo vya kulishia na kunyweshea pamoja na viota. β’ Ondoa kinyesi kwa kuku. β’ Waangalie kuku wako kwa makini ili kujua afya na maendeleo yao. Yaani ili kutambua kama kuna mwenye ugonjwa