Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Maombi Saba Yaliyo Katika Sala ya Baba yetu

Featured Image
50 💬 ⬇️

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu upendo na huruma?

Featured Image
Ni imani ya Kanisa Katoliki kwamba upendo na huruma ni msingi wa imani yetu. Kupitia maandiko matakatifu na mafundisho ya Kanisa, tunaelewa kuwa Mungu ni upendo na anatupenda sisi kila wakati. Sisi kama wakristo tunaitwa kuonesha upendo na huruma kwa wengine kama alivyotufundisha Yesu Kristo. Ni kwa kuonesha upendo na huruma kwa kila mtu, ndipo tunaweza kuleta amani na furaha duniani.
50 💬 ⬇️

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Yesu Kristo?

Featured Image
Mara nyingi tunajua Kanisa Katoliki kama sehemu ya imani inayojali sana Maria na watakatifu wengine. Lakini je, unajua ni nini imani yao kuhusu Yesu Kristo? Hebu tuangalie kwa karibu!
50 💬 ⬇️

Je, Kanisa Katoliki linapinga utoaji mimba na kuhimiza kulinda na kuheshimu uhai wa watoto wachanga?

Featured Image
Je! Kanisa Katoliki Linapinga Utoaji Mimba na Kuhimiza Kulinda Uhai wa Watoto Wachanga? Ndiyo!
50 💬 ⬇️

Kwa nini Wakatoliki wanaungama dhambi kwa Padri?

Featured Image
50 💬 ⬇️

Ufalme wa simu wa sasa

Featured Image

➡ Asubuhi saa 12 : 00 mtu anaamka, kabla hata HAJAMUSHUKURU MUNGU, kabla hata hajatoka kitandani, kabla hata hajajifunua shuka,

👉ATARIPOTI KWA SIMU KWANZA KABLA YA KURIPOTI KWA YEYOTE, NDIO HAPO UNAONA MTU AKIAMKA KABLA HATA HAJASALI KWA MUNGU ANAAMKIA SIMU KWANZA KUIKAGUA,
- Nani alinitafuta?
-Nani alini-text?
-WhatsApp nani kanitumia msg?
- kwenye magroup kuna mpya gani?
- Fb kuna post gani kali?
- nani kaweka picha kali leo?

50 💬 ⬇️

Hadithi: Mkasa wa kusisimua, Jifunze kitu hapa

Featured Image

Watu wawili👬 walikuwa wanakunywa pombe🍺🍻 baa. Wakati wanakunywa wakaanza kubishana🙅🏾‍♂ na baadaye ule ubishi ukawa ugomvi.

Mmoja akamrukia mwenzake akaanza kumpiga. Baada ya kumpiga kwa muda mrefu akagundua kuwa mwenzake hapumui tena.

Kumbe amemwua mwenzie.😰

50 💬 ⬇️

Mambo ya Msingi Unayopaswa kufahamu kuhusu Ekaristi Takatifu: Mwili na Damu Ya Bwana Wetu Yesu Kristu

Featured Image
50 💬 ⬇️

Je, Kanisa Katoliki linatambua na kufundisha Kipaimara kama sakramenti ya neema ya Roho Mtakatifu?

Featured Image
The Catholic Church recognizes and teaches Confirmation as a sacrament of the grace of the Holy Spirit. As the faithful receive this sacrament, they are filled with joy and strengthened in their faith journey.
50 💬 ⬇️

Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

Featured Image

NDOA sio kichaka cha kujificha kukimbia matatizo. NDOA sio mahali pa kutolea mkosi. Wala sio mahali pa kupunguzia shida. Ndoa sio mbadala wa elimu na michakato ya kimaisha. Huolewi ili kupunguza adha za maisha. NDOA ni jukumu zito kuliko hata kusoma masters degree ya Neuro-surgeon. Wengi hamjaweza kumudu maisha yenu binafsi na bado mnalilia Mungu kuwaongezea jukumu la kumeneji maisha ya mtu mwingine.

50 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About