Log in to access your menu with tools for managing 📝 tasks, 👥 clients, 💰 finances, 📖 learning, 🔍 personal growth, and 🌟 spirituality, all in one place!.
Welcome to AckySHINE, your go-to platform for personal growth, productivity, and well-being, offering tools tailored to organize your life, manage finances, and deepen your journey.
SMS ya kimahaba kumueleza mpenzi wako maana ya mapenzi, Mapenzi ni nini?
Updated at: 2024-05-25 15:26:43 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mapenzi ni nini? Wale wasiopenda huita majukumu, wale wanaoyachezea huita mchezo, wale wasiokuwa nayo huita ndoto, na wale wanaoelewa huyaita mwisho wa safari, na mimi, mwisho wangu ni wewe.
SMS nzuri kali ya kimahaba yenye ujumbe wa kuomba pendo kwa umpendaye
Updated at: 2024-05-25 15:26:50 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Naomba upokee zawadi hii ya kiwembe. Amini ndicho kilichotumika kufanyia operation kwa kupasuliwa moyo wangu, kwa sababu nimeoza kwa ajili yako, nimeambiwa ili nipone maradhi haya nipate:- (1)ushirikiano wako (2)furaha yk, (3)upendo wk, (3)tabasam yk. Je! uko tayari kuokoa maisha yangu?
Updated at: 2024-05-25 15:27:04 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
"CHAI" bila sukari hainyweki. "ASALI" bila nyuki haitengenezeki. "PETE" bila kidole haivaliki. Na "MIMI" bila ya kukusalimia wala siridhiki! pokea maneno yafuatayo "I LOVE YOU" pokea my lovely kiss "MWAAAAAAA" my best wishes mtumie umpendae kama na mm nimo nirudishie.
Meseji ya kumtumia mpenzi wako kumwambia akupende kama unavyompenda
Updated at: 2024-05-25 15:25:07 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Nakupenda mpenzi wangu, sifikirii kitu chochote zaidi yako na kwa kuwa nakupenda sipendi kuwa na urafiki hata na mwingine kwani atakuwa anabana nafasi niliyokuwekea wewe. Noamba unipende nami nakupenda kila sikunde inayopita maishani mwangu. Mwaaaaaaaaa
Updated at: 2024-09-03 07:51:13 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ikiwa penzi langu kwako litakufa halitazikwa,ikiwa moyo wangu ni mwandiko hautafutika na kama dhati yangu ni machozi daima hayatokauka na wewe kwangu ni damu ngozini haitochuruzika ila mishipani… .
Ujumbe wa mahaba wa kumtumia umpendaye kumwambia anahisia gani kuhusu mapenzi
Updated at: 2024-05-25 15:23:32 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
mapenzi ni hisia zilizopo moyoni mwetu,hujidhihirishe pale unapopata umpendaye,utamu wake ni zaidi ya sukari uchungu wake ni zaidi ya shubiri je kwako yapo je?
Meseji ya kumuomba mpenzi wako asikuache kwa kuwa unampenda sana
Updated at: 2024-05-25 15:22:10 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu, siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu muhimu, unaeng'aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha. "NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANgu