Log in to access your menu with tools for managing 📝 tasks, 👥 clients, 💰 finances, 📖 learning, 🔍 personal growth, and 🌟 spirituality, all in one place!.
Welcome to AckySHINE, your go-to platform for personal growth, productivity, and well-being, offering tools tailored to organize your life, manage finances, and deepen your journey.
Updated at: 2024-05-25 15:25:30 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ni ngumu kwa watu wawili kupendana wanapoishi Dunia tofauti, lakini Dunia hizo zikutanapo na kuwa kitu kimoja, hiyo ndiyo maana ya kuitwa wewe na mimi.
SMS nzuri ya kumtumia mpenzi wako mnapogombana na kukorofishana
Updated at: 2024-05-25 15:22:26 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
teke la kuku halimuumzi mwanaye sawa na dhati ya mapenzi haiumzi moyo wa ampendaye,tugombane sasa hivi tupatane badaye,najua hakuna wasiogombana ,kama wapo siku wakigombana wataachana.
Ujumbe wa kimahaba kumuomba mpenzi wako asichoke kuwasiliana na wewe kwa kutumia simu
Updated at: 2024-05-25 15:25:47 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue meseji na kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichoke kwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane
Ujumbe wa kumsifia mpenzi wako kumwambia kuwa hakuna anayemfikia yeye
Updated at: 2024-05-25 15:26:31 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Baadhi ya watu huzaliwa na vipaji. Huweza kufanya mambo mazuri kwa ujuzi wao, lakini hamna anayekufikia wewe, kwani ukinisogelea tu kila kitu huwa kizuri.
Ujumbe wa kumhasa mpenzi wako akupende kama unavyompenda
Updated at: 2024-05-25 15:37:04 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
yakumbuke haya sana katika maisha yako wahurumie wenye kukupenda hasa mwenye pendo la dhati kama langu,wapende wanaokupenda japo kwa chembe ya upendo,thamini pendo la akupendae kwa kila mara japo sekunde moja.