Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Featured Image

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi?
JAMAA: nakuomba sana forget me.
MSICHANA: aya bwana poa maisha mema.

236 💬 ⬇️

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

 

237 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Featured Image

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU atoke nje" wakatoka wote ispokuwa Mchungaji na Wazee wawili.

237 💬 ⬇️

Hii ndiyo maana ya matatizo

Featured Image
237 💬 ⬇️

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image
236 💬 ⬇️

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Featured Image
Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "hii sura sio ngeni machoni mwangu sema jina tu silikumbuki..! !!
236 💬 ⬇️

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About