Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
238 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijanaโ€ฆ naomba nirudishwe!"

ย 

238 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Featured Image
238 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Featured Image
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Amri za chuo

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Featured Image
Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia baba jana anamuita dada (housegir) malaika wangu, kwa hiyo nae atapaa?
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Featured Image
Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na nyumbani kwake, akaulizwa unapakumbuka? akajibu ndio nyumba yangu ileee, mara wakatoka watoto wawili wamevaa uniform akasema
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Featured Image
Wewe ni mzazi mwanao anasoma kidato cha tatu mkoani umemsafirisha leo kwenda shule baada ya masaa matano ukasikia gari alilo panda mwanao limepata ajali wamekufa watu wote upo ktk harakati za kuandaa msiba,
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About