Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"
236 💬 ⬇️

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Featured Image
236 💬 ⬇️

Hapa itakuaje?

Featured Image
237 💬 ⬇️

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Featured Image

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi?
JAMAA: nakuomba sana forget me.
MSICHANA: aya bwana poa maisha mema.

236 💬 ⬇️

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Featured Image
Mume akamwambia mke wake: "Funga macho yako tufanye maombi" Akaanza kwa Kimombo:- "… Lord I pray for Grace, I pray for Mercy, I pray 4 Joy, I pray 4 Love, I pray 4 Hope, I pray 4 GLORY, I pray 4 Faith, I pray 4…."
237 💬 ⬇️

Ujinga wa ndoto ndio huu

Featured Image
238 💬 ⬇️

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image
WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown?? HUSBAND: Yule ni Theo Walcott WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?
236 💬 ⬇️

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Featured Image

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,

236 💬 ⬇️

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image
236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About