Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikieโ€ฆ..mkeยญ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

ย 

236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Featured Image
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Featured Image
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa. MKE; Ilikuaje wewe ukapona?
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Featured Image
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Siku moja katika pitapita zangu nikakutana na mtoto mmoja mkali baraa yaani ni mzuri sanaaaa, moyo ukanituma nimuimbishe mtoto akakubali kwamba nitafute siku tukae tuongee vizuri akasema nimpe namba yangu ya simu.
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Duh. Chezeya kuhama!

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
238 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About