Vitu haviwezi kujisogeza
Updated at: 2024-05-23 16:12:39 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kwenye dunia hii vitu haviwezi kusimama kama havijasimamishwa.
Read more
Close
Thamani ya faida
Updated at: 2024-05-23 16:12:41 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huwezi kuona thamani ya kitu ambacho hujakigharamia. Faida haina thamani kama haijagharamiwa.
Read more
Close
Biashara ya maisha
Updated at: 2024-05-23 16:12:48 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Biashara ya maisha ni kusonga mbele tuu. Maisha hayarudi nyuma wala hayafai kurudisha nyuma. Maisha yanasonga mbele.
Read more
Close
Uwezo wa Kutumia ulichonacho
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukiweza kutumia vizuri kipaji au uwezo mdogo ulionao itakufanya uwe bora na mwenye sifa nzuri kuliko yule mwenye uwezo mkubwa.
Read more
Close
Umakini
Updated at: 2024-05-23 16:12:43 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
UMAKINI ni siri kuu ambayo wenye akili wote, wasomi na wanasayansi wanaitegemea.
Read more
Close
Jaribu Mambo Kadiri uwezavyo
Updated at: 2024-05-23 16:12:50 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jarbu Mambo mengi kadiri uwezavyo kwani kwa kujaribu ndivyo tunajua tunaweza au hatuwezi. Kamwe usiseme huwezi jambo kabla ya kujaribu.
Read more
Close
Ushauri kwa mtu
Updated at: 2024-05-23 16:12:40 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Usimpe mtu ushauri ambao unahisi ataukubali sana, mpe mtu ushauri wenye manufaa kwake japo ni mgumu kuukubali.
Read more
Close
Hakuna uwezo Bila fursa
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Hakuna uwezo bila fursa. Huwezi kusema unauwezo wa kitu kama hauna fursa ya kukifanya.
Read more
Close
Kujithamanisha
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tunatakiwa tujithaminishe wenyewe kwa yale tunayoona tunauwezo wa kuyafanya japokuwa watu wengine wanatuthamanisha kwa yale wanayoyaona tumeshayafanya
Read more
Close
Tamaa ni asili
Updated at: 2024-05-23 16:12:37 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tamaa ni tabia ya kiasili ya kila mtu, tofauti ya mtu na mtu ni namna ya kukabili tamaa.
Read more
Close